Tungeishi vipi Duniani kama kusingekuwa na Kifo?

Tungeishi vipi Duniani kama kusingekuwa na Kifo?

Sio kila kweli imethibitishwa na Sayansi, sababu Sayansi kuna mengi haiwezi kuyajibu, kama vile haijibu kifo ni nini na hufata nini mtu baada ya kifo ?

Kweli kabisa sababu vitu hivyi vipo na uhalisia na sio mambk ya kufikirika.
Kama siyo sayansi ni imani. Nimekuelewa mkuu.
 
Unazungumza kuhusu nn? Nakufatilia ila sikupati, Yaani nyumba yangu ipo ila kuna watu wapo dimension ingine hawaioni halafu nikiweka chupa ya maziwa mezani inaweza sogezwa?
Ulipo hapo ufahamu upo 3 Dimension world (Ulimwengu huo ambao unamshika mtoto, unaelekea sokoni, unamuona Musk, kusikiliza muziki na mengineyo.) Lakini katika dunia hiyo hiyo ulipo kuna other dimensions (Niseme ni kama layer au bond fulani) Ukiwa umekaa katika kiti chako muda huo huo layer nyingine kupitia sehemu hiyo hiyo utakuwa kuna viumbe wapo katika fukwe, jangwa au wanatengeneza kitu hapo.

Kutokana na mwisho wa uwezo wa roho na upeo wako uwepo wako umefungwa kutokuona hayo na wale katika layer nyingine (Baadhi yao wamefungwa kutokuona utendayo wewe).

Ukiwa unaelekea sokoni, wakati huo huo katika ulimwengu mwingine (Layer) kuna viumbe unapishana navyo lakini hamuingiliani katika utendaji na maeneo yenu (Japo utokea katika nyakati tofauti).

Katika nyakati tofauti hali inapotokea either kiumbe mwingine amekuja katika layer yako, ikiwa nyumbani kwako katika layer yake ni karakana ya kiteknolojia basi hiyo glass ya maziwa itahamishwa kwa kufahamu au pasi ya kufahamu. Na hiyo inatokana na bond inayoweza kuwapo baina yenu.
 
Pia ukaenda mbali zaidi ukasema "Ikiwa vitu hivyo havipo na haziwezi kuwa sababu za awali basi nitarudi katika taadhia na ithibati kuu kwamba kuna kiumbe/kitu katika dunia nyingine kimefanya hilo suala yawezakuwa kwa kusudi au pasi ya kutarajia."

Hapa kwenye hoja hiyo niliyo kunukuu nilipata shaka kidogo, nikajiuliza we utajuaje kua vitu hivyo vinavyoweza kusababisha kitu kuhamishwa havipo?

Nikiwa na lengo kua vitu hivyo vinaweza vikawa vimesababisha hicho kitu kuamishwa ila kukawa hakuna tu ushahidi kuonesha vitu hivyo ndio sababu. Sasa hoja yako ya kutafuta kiumbe kingine ambacho unahisi kua kitakua ndio sababu huoni kwamba itakua ni potofu??


Na ndio maana Nikakuuliza "Inamaana mtu endapo akihamisha kitu kutoka sehemu uliyoiweka kwenda nyingine bila kuacha ushahidi ambao ungeweza kukusaidia kujua kua kimehamishwa na mtu, wewe utajuaje kwamba kitu hicho kimehamishwa na kitu kingine ambacho hujakijua na sio kwamba ni mtu tu aliyekihamisha bila kuacha ushahidi??"
Naweza nikawa nilielewa tofauti au sikuelewa uwasilishaji.

Sawa, kwa kujibu swali lako. Ninachoeleza hapa niseme nakifahamu na ninao uhakika moja kwa moja.

Kupitia mfumo wangu wa maisha mtu akiamisha kitu nitafahamu kwa sababu (Hayupo wa kuamisha) 3 dimension world.

Ikitokea kimehama basi yupo aliyehamisha katika dimension tofauti na effects zikatokea katika dimension niliyokuwapo.
 
Kuna viumbe ni Immortal mama Jelly Fish, hawafi hawa samaki kama wasipokutana na visababishi kama kutolewa majini. Ila wanaweza kuuawa...So logic ni kwamba kama tungekua immortal tusingekufa kama tungeishi kwa amani na kuweka mazingira yatuzungukayo ila kama mtu akiplan kuua anaweza kuua.
Ulichojibu mkuu umezingua...
 
Huko unakoita wewe kufa actually sio mwisho wa uhai bali ni kubadili mazingira tuu. Nimeongea lugha rahisi Sana na sitaki maswali hapa.
 
Mbona unalalamika sana vipi?

Kipi ambacho nimeshindwa kukijengea hoja?
Hili tatizo lingine sasa,hata lalamiko hujui linakuwaje na hujui lina sifa gani ?

Kauli yako ya "Lockdown" ,mara hii umesahau, au upo kwa ajili kupoteza muda kama kawaida yako ?
 
hata tuzaliane vipi hatuwezi ijaza dunia amini kwamba. kosa la adam na Hawa ndilo lililoleta kifo. kumbuka kabla ya hilo kosa Mungu baada ya kumleta Hawa kwa Adam aliwapa kazi moja zaeni mkaongezeke. so alijua kuwa hata tufyatue vp ni tutazaana na hatuwezi jaa. tungekuwa na kazi mbili tu. a)kutunza bustani namaanisha kulima ,b) kuzaana
 
Hili tatizo lingine sasa,hata lalamiko hujui linakuwaje na hujui lina sifa gani ?

Kauli yako ya "Lockdown" ,mara hii umesahau, au upo kwa ajili kupoteza muda kama kawaida yako ?
Wapi ambapo hujaelewa kwenye kauli ya "lockdown"?
 
Naweza nikawa nilielewa tofauti au sikuelewa uwasilishaji.

Sawa, kwa kujibu swali lako. Ninachoeleza hapa niseme nakifahamu na ninao uhakika moja kwa moja.

Kupitia mfumo wangu wa maisha mtu akiamisha kitu nitafahamu kwa sababu (Hayupo wa kuamisha) 3 dimension world.

Ikitokea kimehama basi yupo aliyehamisha katika dimension tofauti na effects zikatokea katika dimension niliyokuwapo.
Utasemaje hayupo wa kuhamisha, umejihakikishia vipi kua Hakuna mazingira yanayoweza kukupa wewe ushahidi wa mtu/kitu kufanya jambo pasipo kuacha ushahidi mpaka ukahitimisha kua "hayupo wa kuamisha"?
 
Ulipo hapo ufahamu upo 3 Dimension world (Ulimwengu huo ambao unamshika mtoto, unaelekea sokoni, unamuona Musk, kusikiliza muziki na mengineyo.) Lakini katika dunia hiyo hiyo ulipo kuna other dimensions (Niseme ni kama layer au bond fulani) Ukiwa umekaa katika kiti chako muda huo huo layer nyingine kupitia sehemu hiyo hiyo utakuwa kuna viumbe wapo katika fukwe, jangwa au wanatengeneza kitu hapo.

Kutokana na mwisho wa uwezo wa roho na upeo wako uwepo wako umefungwa kutokuona hayo na wale katika layer nyingine (Baadhi yao wamefungwa kutokuona utendayo wewe).

Ukiwa unaelekea sokoni, wakati huo huo katika ulimwengu mwingine (Layer) kuna viumbe unapishana navyo lakini hamuingiliani katika utendaji na maeneo yenu (Japo utokea katika nyakati tofauti).

Katika nyakati tofauti hali inapotokea either kiumbe mwingine amekuja katika layer yako, ikiwa nyumbani kwako katika layer yake ni karakana ya kiteknolojia basi hiyo glass ya maziwa itahamishwa kwa kufahamu au pasi ya kufahamu. Na hiyo inatokana na bond inayoweza kuwapo baina yenu.
🙄🙄🙄🙄🙄
 
Back
Top Bottom