Tungeishi vipi Duniani kama kusingekuwa na Kifo?

Tungeishi vipi Duniani kama kusingekuwa na Kifo?

Hizi ziko wapi ni uhalisia au za kufikirika ? Kuna mtu yupo katika dunia hizi ?

Sijawahi kaka mkubwa.
Zipo katika dunia hiyo uliyokuwapo na sio za kufikirika. Watu na viumbe vingine vingi na sehemu nyingine viumbe pungufu. Mnapishana kwa kutokuonana na baadhi ukuona.

Umewahi kuweka kitu sehemu na ukakuta kimehama pasi ya kuhamishwa na ukiwa na uhakika?
 
Kwani wapi nilipodai kua nilichoandika ni kweli kiasi cha wewe kuhitaji ushahidi ili kujua ukweli ulipo?
Swali ulilo uliza ndio limeakisi ya kuwa kile ulichokiandika kweko wewe una dhani ndiyo kweli, kwahiyo sio mpaka uandike neno husika, ndio maana kuna maana ya neno kwa neno na maana kwa kile kinachojitokeza katika kauli husika.

Inabdi usome masomo ya lugha hasa "Balagha" ili usisumbue watu kwa kuuliza maswali ya kitoto.

Ahsante.
 
Zipo katika dunia hiyo uliyokuwapo na sio za kufikirika. Watu na viumbe vingine vingi na sehemu nyingine viumbe pungufu. Mnapishana kwa kutokuonana na baadhi ukuona.

Umewahi kuweka kitu sehemu na ukakuta kimehama pasi ya kuhamishwa na ukiwa na uhakika?
Kitu kuhama au kutokujua nini kimehamisha hicho kitu mahala ulipo kiacha?

Au

Ukisema kitu kuhama it sounds like kimejihamisha chenyewe yani ni "self controlled" hakihitaji muongozaji ili kiweze ku-move yani kina operate katika mfumo wa automatic bila controller

Sindiyo?
 
Swali ulilo uliza ndio limeakisi ya kuwa kile ulichokiandika kweko wewe una dhani ndiyo kweli, kwahiyo sio mpaka uandike neno husika, ndio maana kuna maana ya neno kwa neno na maana kwa kile kinachojitokeza katika kauli husika. Inabdi usome masomo ya lugha hasa "Balagha" ili usisumbue watu kwa kuuliza maswali ya kitoto.

Ahsante.
Kwanini unaniwekea mawazo yako katika kichwa changu kana kwamba mimi nimedhania kama ulivyofikiria wewe kwenye kichwa chako?

Wapi nimedhani ndiyo kweli?
 
Kitu kuhama au kutokujua nini kimehamisha hicho kitu mahala ulipo kiacha?

Au

Ukisema kitu kuhama it sounds like kimejihamisha chenyewe yani ni "self controlled" hakihitaji muongozaji ili kiweze ku-move yani kina operate katika mfumo wa automatic bila controller

Sindiyo?
Namaanisha hiyo ya kwanza,. Nimekosea katika uwasilishaji.
 
Kwanini unaniwekea mawazo yako katika kichwa changu kana kwamba mimi nimedhania kama ulivyofikiria wewe kwenye kichwa chako?

Wapi nimedhani ndiyo kweli?
Kule ulipoandika ya kuwa ".....kama lockdown" au kama ulivyoandika. Kama ulikuwa hujui ulichokiandika ni nini, unatakiwa uongeze uongeze umakini, na ukija uje kupinga kwa hoja,

sio unauliza maswali ya kitoto na na kuleta dhana za chini ya asilimia 50, ukiendelea kuuliza maswali ya kitoto, nitakuja kukufundisha nini maana ya dhana, na wakati gani dhana hujengewa hoja na kuwa kweli yaani ikahukumu jambo.
 
Kule ulipoandika ya kuwa ".....kama lockdown" au kama ulivyoandika. Kama ulikuwa hujui ulichokiandika ni nini, unatakiwa uongeze uongeze umakini, na ukija uje kupinga kwa hoja, sio unauliza maswali ya kitoto na na kuleta dhana za chini ya asilimia 50, ukiendelea kuuliza maswali ya kitoto, nitakuja kukufundisha nini maana ya dhana, na wakati gani dhana hujengewa hoja na kuwa kweli yaani ikahukumu jambo.


Tatizo sio kuandika hilo neno, tatizo ni kilichokuja kutafsiriwa baada ya kulisoma hilo neno.

we umelielewaje?

Kwanini kutumia neno hilo kulete maana kua nimedhania nilichokiandika kimebeba ukweli na sio jambo lingine?
 
Tatizo sio kuandika hilo neno, tatizo ni kilichokuja kutafsiriwa baada ya kulisoma hilo neno.

we umelielewaje?

Kwanini kutumia neno hilo kulete maana kua nimedhania nilichokiandika kimebeba ukweli na sio jambo lingine?
Nilichokiandika ndio uelewa wangu, na huwezi kuukosoa mpaka kesho, ndio maana nikasema hivi, nakuja kukufundisha maana ya dhana na maana ya neno kwa neno na neno kwa maana.

Sababu hukuandika kinyume chake ndio maana ikawa ni dhana isiyo na shaka ndani yake, kiistilahi hii "Dhana" huitwa "Dhana al Ghaarib" sasa kwenye dhana hii haina kinyume chake.
 
Ok turejee katika hoja hiyo uliyoikusudia

Je ukikutana na mazingira kama hayo ya kitu kuhama hua una hitimisha vipi?
Kwanza hujiuliza sababu zinazoweza pelekea kitu hicho kuhama. Ikiwa ni mtu kahamisha, nilisahau au kulikuwa na influence ya upepo na mwinuko.

Ikiwa vitu hivyo havipo na haziwezi kuwa sababu za awali basi nitarudi katika taadhia na ithibati kuu kwamba kuna kiumbe/kitu katika dunia nyingine kimefanya hilo suala yawezakuwa kwa kusudi au pasi ya kutarajia.
 
Nilichokiandika ndio uelewa wangu, na huwezi kuukosoa mpaka kesho, ndio maana nikasema hivi, nakuja kukufundisha maana ya dhana na maana ya neno kwa neno na neno kwa maana.

Sababu hukuandika kinyume chake ndio maana ikawa ni dhana isiyo na shaka ndani yake, kiistilahi hii "Dhana" huitwa "Dhana al Ghaarib" sasa kwenye dhana hii haina kinyume chake.
Nikosoe nini tena wakati usha jikosoa tayari?
 
Nikosoe nini tena wakati usha jikosoa tayari?
Poa, una lingine kijana?

Maana kujadiliana na mtu ambae hajui ameandika nini, ni matumizi mabaya ya muda na akili pia. Sasa hapo nikikuuliza uonyeshe wapi nilipo jikosoa, hutaweza halafu utaanza kunisumbua na kupoteza muda.
 
Back
Top Bottom