Peponi ni madanguroni, kumejaa uzinzi xxL plusππππππππ
Pale unapomwonea huruma Mtu ukidhani yuko Akhera Motoni kumbe anakula bata kama kawaida.ππππππππ
Umdhaniaye ndiye kumbe siyeππππππππ
Dua ya kuku haimpati mweweππππππππ
Ongeza wenye mikia 70ππππππππ
Sentence yangu: picha yako haionekani vizuri kama yanguππππππππ
Kumuombea(kumsalia) marehemu hakubadilishi ghadhabu ya Mungu.Sentence yangu: picha yako haionekani vizuri kama yanguView attachment 3198215