mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Vipi hao wananchi hawajaunga mkono juhudi?Eti oh mikutano imekatazwa. Upuuzi mtupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi hao wananchi hawajaunga mkono juhudi?Eti oh mikutano imekatazwa. Upuuzi mtupu.
Tuondolee ulofa humu ndani...jf ni ya watu wenye akili timamu we hakukufai humuKwa hiyo?
Nenda kampelekee uji Lisu huko wodini. Usinipotezee muda hapa.Tuondolee ulofa humu ndani...jf ni ya watu wenye akili timamu we hakukufai humu
Nenda kawaulize. Unataka niwajibie?
Wewe unataka kujifanya umesahau chanzo cha kesi ambayo imemweka Mwenyekiti wa chadema lock up hadi usawa huu?Kuna kilichokatazwa?
Nimeupa nafasi.Haujaupa ubongo nafasi...
Achana nae huyu, huyu ametumwa kuvuruga post bora dhidi ya Jiwe. Mpuuze tu.Unaelewa maana ya chama cha siasa???????
Naziona sura za wananchi zikiwa za furaha.
Akitusikiliza vipi? Nyie si mmesema mikutano imezuiliwa..waacheni wasiojua matusi waongee na wapiga kuraMtu akiwasikiliza nyie, anaweza kudhani chadema haina wanachama tena. Chama ni itikadi, viko mioyoni mwa watu. Si mlikuwa mnasema kimekufa? Na wengi wenu mtatumbuliwa kwa kumuongezea jiwe presha na kutafuna ela za walipa kodi kununua wanachadema.
Woga unajiogopesha mwenyewe tu.Na hiyo ni nyomi wakati huu ambao bado woga umetamalaki. Ukimya siyo sababu. This time muwaachie wananchi wachague viongozi wanaowataka.
Unafahamu chanzo cha kesi ya Mbowe?Akitusikiliza vipi? Nyie si mmesema mikutano imezuiliwa..waacheni wasiojua matusi waongee na wapiga kura
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesi gani?Wewe unataka kujifanya umesahau chanzo cha kesi ambayo imemweka Mwenyekiti wa chadema lock up hadi usawa huu?
We will see.
Na bado.Kesi gani?
Hata mimi nimefikiria hicho kitu. Kumweka kwenye ignore list for ignorances!😀Moderator unaweza kunisaidia kumweka huyu masikini kwenye Ignore List ?
Kwa hiyo?Na bado.
Pumbavu zako, Lisu amesaidia, Kazi ya lisu. Jiwe anaanza kunyooka! Dunia haitamuacha salama Jiwe. Bado ICC, Lisu akihojiwa ICC , Jiwe atanyooka zaidi!Eti oh mikutano imekatazwa. Upuuzi mtupu.
Wewe ni mpuuzi tu.Pumbavu zako...
Wewe ni mjinga!Wewe ni mpuuzi tu.