jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
Anataka mpaka ikifika 2020 chadema iwe imekufa. Part of the 1.5 T inasemekana ilielekezwa huko.Alisemaje?
Anataka mpaka ikifika 2020 chadema iwe imekufa. Part of the 1.5 T inasemekana ilielekezwa huko.Alisemaje?
Umeona mtindo wa t shirt.....
Nimemsikia akisema mikutano haijakatazwa. Imeruhusiwa kwa mbunge yeyote jimboni kwake. Labda sikumsikia vizuri.Anataka mpaka ikifika 2020 chadema iwe imekufa. Part of the 1.5 T inasemekana ilielekezwa huko.
Wewe ni mpuuzi sana. Unafikiri na mimi siwezi kuandika matusi ya nguoni au?ili kuepuka ban baada ya kukutandika matusi ya nguoni ni bora nisione ujinga unaoandika
Unaelewa maana ya chama cha siasa???Unaelewa maana ya chama tawala?
Unaelewa maana ya chama tawala?Unaelewa maana ya chama cha siasa???
Unamtisha nani matusi ya nguoni we mburulaWewe ni mpuuzi sana. Unafikiri na mimi siwezi kuandika matusi ya nguoni au?
Sawa bashite
Kuna kilichokatazwa?KKilichokatazwa ni nn?
Unaelewa maana ya chama cha siasa???????Unaelewa maana ya chama tawala?
Wewe ni lofa tu, huna lolote.Unamtisha nani matusi ya nguoni we mburula
Unajifanya hujui imekazwaje, hebu ruhusu akili yako iwe free kufikiriEti oh mikutano imekatazwa. Upuuzi mtupu.
Sijakufikia wewe kwa ulofaWewe ni lofa tu, huna lolote.
Kwa hiyo?Sijakufikia wewe kwa ulofa
hii ni baada ya Lissumycin kuingia kwenye bongo za wanaojifanya vichaa.Eti oh mikutano imekatazwa. Upuuzi mtupu.
Akili yangu iko free.Unajifanya hujui imekazwaje, hebu ruhusu akili yako iwe free kufikiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Haujaupa ubongo nafasi ya kuchakata vizuri wanachomaanisha hao wanaosema mikutano imekatazwaAkili yangu iko free.
Tunafurahi kuona hivi kila mmoja akisimama jimboni kwake kuongea na wapiga kura wake amani tu hakuna polisi wala virungu!