kichwa mbovu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 706
- 503
Upumbavu gani?
Siamini katika upumbavu.Na mtu akiwasikiliza hao chadema anaweza kudhani mikutano imekatazwa. Hakuna mtu aliyekataza mikutano.
I don’t speak piglatin!You can go hang. I don't give a damn.
Kwa hiyo unataka tuamini hata hapa jukwaani wanaoishabikia chadema wengi ni wanawake?Huyo ni mbunge jimboni kwake.!
Halafu ukiangalia hiyo picha wengi ni wanawake, bila shaka ile kengele ya Rais imechangia maana wao ndio waathirika wakubwa.
Bullshit.I don’t speak piglatin!
View attachment 1027573
Kwa hiyo?
Nafikiri yupo wodini anapasuliwa leo.
Wanalalamika tu hovyo bila kujua chchote.Si unaona nyomi ilivyojaa hapoEti oh mikutano imekatazwa. Upuuzi mtupu.
Bullshit.
Mpuuzi ni wewe unayekurupuka na kuona wengine hawana akili, hata hiyo CCM unayofikiri unaitetea kwa wenye akili wanakuona mpuuzi tu.Eti oh mikutano imekatazwa. Upuuzi mtupu.
Wewe ni mpuuzi tu.Mpuuzi ni wewe unayekurupuka na kuona wengine hawana akili, hata hiyo CCM unayofikiri unaitetea kwa wenye akili wanakuona mpuuzi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Keep on copying and pasting.
Bila kusahau show ya koro.Mkuu kile kitambulisho cha Rais kinachangia chuki kubwa sana dhidi ya serikali.
Maana watendaji hawaangalii nini unafanya mtaji wako ni upi shida yao ni elfu 20.
Hili ni kaburi lingine la ccm kwenye siasa za ushindani.
Read my lips...Keep on copying and pasting.