Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,381
Humphrey polepole ni mbunge wa jimbo gani ?Eti oh mikutano imekatazwa. Upuuzi mtupu.
Humphrey polepole ni mbunge wa jimbo gani ?Eti oh mikutano imekatazwa. Upuuzi mtupu.
TeteteteBora hata ungenita polepole kuliko bichwa maji bashite nitake radhi aise
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Mkuu kile kitambulisho cha Rais kinachangia chuki kubwa sana dhidi ya serikali.Na hiyo ni nyomi wakati huu ambao bado woga umetamalaki. Ukimya siyo sababu. This time muwaachie wananchi wachague viongozi wanaowataka.
Unaijua kengele ya rais wewe? Unaijua kengele? Acha kumtukana jiwe. kengele ya jiwe anaijua mke wake tu.Huyo ni mbunge jimboni kwake.!
Halafu ukiangalia hiyo picha wengi ni wanawake, bila shaka ile kengele ya Rais imechangia maana wao ndio waathirika wakubwa.
Wale waliosema mikutano ya kisiasa imekatazwa ni wapi hao? Na hicho kinachofanywa hapo ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaelewa maana ya chama tawala?Humphrey polepole ni mbunge wa jimbo gani ?
Mmeshindwa akina nani hao. Unaongea na mimi au wao?Huo si wa jimboni kwake? Pamoja na hayo kujaribu kuuwa chama mmeshindwa.
Unaijua kengele ya rais wewe? Unaijua kengele? Acha kumtukana jiwe. kengele ya jiwe anaijua mke wake tu.
Wanajiamini nadhani kwasababu sanduku la kura halijawahi kutoa mshindi.Mkuu kile kitambulisho cha Rais kinachangia chuki kubwa sana dhidi ya serikali.
Maana watendaji hawaangalii nini unafanya mtaji wako ni upi shida yao ni elfu 20.
Hili ni kaburi lingine la ccm kwenye siasa za ushindani.
Moderator unaweza kunisaidia kumweka huyu masikini kwenye Ignore List ?Unaelewa maana ya chama tawala?
Umesahau alichosema mwenyekiti wa chama tayari kuhusu upinzani hadi 2020?Mmeshindwa akina nani hao. Unaongea na mimi au wao?
Alisemaje?Umesahau alichosema mwenyekiti wa chama tayari kuhusu upinzani hadi 2020?
Unaelewa maana ya chama cha siasa...Unaelewa maana ya chama tawala?
Acha upuuzi wako.Moderator unaweza kunisaidia kumweka huyu masikini kwenye Ignore List ?
Unaelewa maana ya chama tawala?Unaelewa maana ya chama cha siasa...
Blue red and white! Inaonyesha hao ni wapenzi na wanachama na siyo wapenzi watizamaji kama wale ambao huwa wanabebwa na mafisiem kwenye mafuso! Ukitizama nyuso zao kuna kitu unaweza kujifunza.
Na mtu akiwasikiliza hao chadema anaweza kudhani mikutano imekatazwa. Hakuna mtu aliyekataza mikutano.
ili kuepuka ban baada ya kukutandika matusi ya nguoni ni bora nisione ujinga unaoandikaAcha upuuzi wako.