stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,385
- 3,494
Nitajie ofisi mpya mliyojenga ukiacha zile za TANU na ASP
kuna sehem hii nchi utaenda utakosa ofisi ya ccm? na ofisi za maaaana sio zile zenu za makuti
Nitajie ofisi mpya mliyojenga ukiacha zile za TANU na ASP
Kwani ilani ya wapinzani ndio ya ccm??Kwa hiyo ukichagua chadema hupati maji. Basi na hilo eneo husika kodi zisikusanywe maaana kodi ni kwa maendeleo.
Kama ipi mliyojenga nyie wezi? Ofisi zimejengwa na wanachi wote chini ya chama kimoja na mmezipora. Ipo siku zitarudi serikalini. Nioneshe ofisi moja iliyojengwa na ccm baada ya 1992kuna sehem hii nchi utaenda utakosa ofisi ya ccm? na ofisi za maaaana sio zile zenu za makuti
Mkuu rudi darasani ukasome somo la uraia.Kwani ilani ya wapinzani ndio ya ccm??
Majimbo mengi ya CCM yamejaa masikini na mafukaranenda mkalama ukajionee,ni mwendo wa visima kwa kwenda mbele
Umehamisha magoli tu wewe pimbi. Hoja yangu kubwa ni kwamba ushoga upo Tanzania muda sawa na CCM ilivyo madarakani. Na hautaletwa kwa CHADEMA kuingia madarakani hapo October 2020Unajua James Delicious alishtakiwa na kuhukumiwa kwa kosa gani we kilaza??? Hujajibu alafu unaleta tantalila hapa!!
Video za ngono za Amber Rutty aliezipost mtandaoni ni James Delicious kwa iyo alishtakiwa kwa kosa la ku post zile videos na amehukumiwa kwa hilo.
Wadanganye hao misukule wako wa Lumumba huko. Tanzania hakuna mtu aliyewai kukamatwa, kushtakiwa na kuhukumiwa kwa ushoga. Haijawai tokea never
Tunduma yaani akili zenu zimekuwa za matope.mmefikia Hapo?mnadanganywa na maji?yangu 1961 mpaka leo hii 2020 ndo mnadanganywa na maji?mmekosa uelekeo?Tukose maji kwaajili yako bambav Silinde oyee
Sasa hivi unatumia maji ya kutoka wapi?SEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.
Tunduma sio simanjiro au kiteto huku sio jangwa hakuna shida ya maji maana visima virefu vimejaa kila kona vya watu binafsiMkuu acha kupotosha umma wanaohangaika kwa ukosefu wa maji na akina mama wanao amuka sa8 za usiku kwenda kuteka maji siyo wewe mhuni unaeamkia vijiweni kupiga porojo.
Acha wananchi Tuchague maendeleo hivyo vyama vyenu msituhusishe navyo.
Afterall upo dar unawasemea wanatunduma,patheticHabari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
Umekiiita kimuradi kwakuwa wewe unauwezo wa kuchimba kisima cha milioni 15. Ila sisi huu mradi wa kutoka Victoria ni msaada saanaa. Namajiii hayo tutayatumia saaanaa. Na hivyo visima na wafanyabiashara wenzio mumevichimba wapiii na sisi tujee kuchota?? ACHA KUBWABWAJA UONGO HAPAA.Sasa hivi unatumia maji ya kutoka wapi?
Kwa taarifa yako wafanyabiashara wakubwa kwa kushirikiana na mbunge na uongozi wa cdm walishatoboa maji ya visima virefu ,watu wasio na uwezo wa kuchimba vyao wanapata maji huko kwa bei rahisi saaana .
Pili kimradi chao Cha maji kupitia Ruwasa hakitoi maji licha ya mwenge na makamu wa rais kuzindua,ccm buree kabisa na kura za Tunduma msahau, hospital mumejenga lakini kura sahauni huduma kwetu sio fadhila
Kwanini Chadema haijajenga ofisi ya makao makuu tangu imeanzishwa na kushiriki uchaguzi zaidi ya miaka 25 iliyopitaKwa nini hamkupeleka maji kwa miaka 60 iliyopita tangu tupate uhuru leo mje na vitisho kwa wapiga kura?
Wapo kwenye ofisi za ccm?Kwanini Chadema haijajenga ofisi ya makao makuu tangu imeanzishwa na kushiriki uchaguzi zaidi ya miaka 25 iliyopita
Mbona unaongea kama bwabwa?Kama hawezi badili kwako mwanasiasa kitu basi kwako unavyomng'ania Lisu angalau anaweza akabadili hata condomu endelea mjinga.sisi huku mambo moto na Magu wetu haturudi nyuma na majirani wameanza kutuogopa
Kama hakua yeye kwa Nini saizi aone yeye ndo analo jukumu la kuleta maji,..unafiki tu huo kwani yeye ni chadema? Si ccm hao hao wa tangu UhuruMiaka yote alikuwa yeye? Ndio mjiulize mmekosea wapi? Kabla ya kutoa lawama
Hahaha eti Magufuli hashindi!Habari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
Najua maji Ni muhimu.. ila nilichosema Ni kuwa watu wanaojitambua hawawezi kushikiwa akili sabb ya maji au chochote.
Hamna binadamu anaeishi asiependa maji otherwise Kama hao watu wa mbeya unaowazungumzia wewe ni Mazombi.
Tatizo ni wizi wa kura unaotekelezwa na NECcm, policcm, TiSSccm, nk.....tutawawajibisha kwenye kura tutakazowapigia