Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,924
- 122,194
huyu jamaa ni hatari nadhani ni mtu anayeongoza kwa kutajwa tajwa hapa nchini kuliko mtanzania yeyote
huyu jamaa ni hatari nadhani ni mtu anayeongoza kwa kutajwa tajwa hapa nchini kuliko mtanzania yeyote
Hatari kwa usalama wa taifa letu. Ni mtu wa kuogopwa kama ukoma. Mtu anayepokea rushwa na kutumika kama tisu! !Mchonganishi, mpotoshaji, mnafiki, mlarushwa, mzushi na mnyonyaji mkubwahuyu jamaa ni hatari nadhani ni mtu anayeongoza kwa kutajwa tajwa hapa nchini kuliko mtanzania yeyote
Nyapuuu!!!!Ndugu yangu naona unataka mwenzako afukuzwe chama na mzee wa totoz siyo?
Wewe endelea mzee wa totoz hapend kuona mtu ndan ya chama ni maruufu zaid yake
Unataka mwenzako aundiwe zengwe afukuzwe chama sijui ndo utafurah
Kelaghumbe!!!Huo upinde wamenikumbusha sana enzi za utotoni.
Niliwahi kumchapa mwenzangu mshale pembeni mwa jicho kwemye mchezo fulani wa kiutani
Kwanza Nina wasiwasi kama atarudi mjengoni @ wakili msomiRais wa vilaza
Hizo ndio akili za walumumba, ambazo huwezi kuzipata sehemu yoyote duniani isipokuwa Tz tu.[HASHTAG]#RipotiYaKwanza[/HASHTAG]
Lissu: Tusihangaike na udongo, tuhangaike na mikataba na sheria mbovu za madini zilizotufikisha hapa. Tuangalie tulipojikwaa, tusiangalie tulipoangukia.
CCM: Lissu analinda wezi. Mikataba na sheria za madini hazina shida. Shida ipo kwenye udongo wenye makinikia. Tumeibiwa sana kwenye udongo. Hatukubali.
[HASHTAG]#RipotiYaPili[/HASHTAG]
JPM: Tumelogwa na nani? Watanzania tumeibiwa sana. Naagiza mikataba yote na sheria zote za madini zipitiwe upya.
CCM: Rais wetu mzalendo. Amefanya kazi kubwa sana. Tumuombee.!!
[HASHTAG]#MyTake[/HASHTAG]:
Lugha ileile aliyoongea Lissu akaambiwa amehongwa, ndiyo aliyoongea JPM leo akaitwa mzalendo. Akili za CCM kama kifurushi cha jaza ujazwe .!
Hatari kwa usalama wa taifa letu. Ni mtu wa kuogopwa kama ukoma. Mtu anayepokea rushwa na kutumika kama tisu! !Mchonganishi, mpotoshaji, mnafiki, mlarushwa, mzushi na mnyonyaji mkubwa
Vilaza ni nani kama sio mafisi akina Bashite,bwege weweRais wa vilaza
Hahahaaaa nimecheka sana[HASHTAG]#RipotiYaKwanza[/HASHTAG]
Lissu: Tusihangaike na udongo, tuhangaike na mikataba na sheria mbovu za madini zilizotufikisha hapa. Tuangalie tulipojikwaa, tusiangalie tulipoangukia.
CCM: Lissu analinda wezi. Mikataba na sheria za madini hazina shida. Shida ipo kwenye udongo wenye makinikia. Tumeibiwa sana kwenye udongo. Hatukubali.
[HASHTAG]#RipotiYaPili[/HASHTAG]
JPM: Tumelogwa na nani? Watanzania tumeibiwa sana. Naagiza mikataba yote na sheria zote za madini zipitiwe upya.
CCM: Rais wetu mzalendo. Amefanya kazi kubwa sana. Tumuombee.!!
[HASHTAG]#MyTake[/HASHTAG]:
Lugha ileile aliyoongea Lissu akaambiwa amehongwa, ndiyo aliyoongea JPM leo akaitwa mzalendo. Akili za CCM kama kifurushi cha jaza ujazwe .!
Kuliko kupitisha mikataba kwa dharula na kuitikia ndiooooo idiotHatari kwa usalama wa taifa letu. Ni mtu wa kuogopwa kama ukoma. Mtu anayepokea rushwa na kutumika kama tisu! !Mchonganishi, mpotoshaji, mnafiki, mlarushwa, mzushi na mnyonyaji mkubwa