johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,104
Nimemsikia Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu akisema Shujaa Magufuli alifanya Uovu mwingi lakini hakuuza rasilimali za Nchi
Nitumie Sabato Hii kumkumbusha tu Tundu Lisu kwamba Adam aliumbwa na Mungu wa mbinguni Ili aitunze Bustani
Kwahiyo Magufuli kutunza Bustani ni wajibu wake wa asili kwa kuumbwa kwake
Nawatakia Sabato Njema 😄
Nitumie Sabato Hii kumkumbusha tu Tundu Lisu kwamba Adam aliumbwa na Mungu wa mbinguni Ili aitunze Bustani
Kwahiyo Magufuli kutunza Bustani ni wajibu wake wa asili kwa kuumbwa kwake
Nawatakia Sabato Njema 😄