Wameshaingia mitini, hakuna tena miwani ya kuchomeleaHivi hawa wako wapiView attachment 1117130
Dah nawatafuta Nina kazi nataka kuwapaWameshaingia mitini, hakuna tena miwani ya kuchomelea
[emoji1][emoji1][emoji1] naona rafiki yako Yeriko Nyerere Mwizi wa Machapisho ya Wenzanke mtandaoni ameshakuhathiriUwape kazi gani mkuu kama wewe ulishindwa kufanikisha ulicho kusudia pale namanga utaweza kufanya hayo ukiwa ugenini ?
Ni ukweli mtupu Mkuu, ubarikiwe.Tuna uhaba mkubwa wa watu makini na muhimu katika harakati za mabadiliko, kama TAML. He's my hero and an inspiration for many young people!
Muulize mwenyeweNdiyo nani huyo Yeriko?
Anaishi mtaa gani hapa Nairobi?
Si unajua Wazungu wametibu mpaka hata kama alikuwa na kanyemelezi chochoteBora Kabla hajashambuliwa? Duh
Wanajamvi kwa mara nyingine tena nawaletea hali ya afya ya mh Tundu Lissu kuwa sasa ni bora kuliko hata kabla haja shambuliwa.
Tujiandae kumpokea hapo muda wake wa kurudi nyumbani ukifika.
Wazalendo wote wa nchi hii tujiandae kumpokea kiongozi wetu kipenzi cha watanzania.
Hapa chini ni mh Lissu ktk hali yake ya sasa.View attachment 1116707
..😂😂😂😂😂😂..Eti watz wote tukampokee wakati siku hiyo sisi wajeshi tutakuwa tunasafisha mji...
ule wako uzagae ovyo hasa maeneo ya Airport.. tutakuhesabu nawewe ni uchafu 😅 😅
Sidhani kama ni haki yetu mimi na wewe kutaka kuchunguza maisha binafsi ya mh Lissu
Rais wa Tanzania 2020 ana dunda kiselaWanajamvi kwa mara nyingine tena nawaletea hali ya afya ya mh Tundu Lissu kuwa sasa ni bora kuliko hata kabla haja shambuliwa.
Tujiandae kumpokea hapo muda wake wa kurudi nyumbani ukifika.
Wazalendo wote wa nchi hii tujiandae kumpokea kiongozi wetu kipenzi cha watanzania.
Hapa chini ni mh Lissu ktk hali yake ya sasa.View attachment 1116707