Maneno kama hayo yana faida gani katika mada.hali ya afya ya mh Tundu Lissu kuwa sasa ni bora kuliko hata kabla haja shambuliwa.
Ashukuriwe Kristo Yesu Bwana wa Uzima, ambaye yeye kwanza aliyashinda mauti pale msalabani ili sisi tupate kuishi na kuwa na UZIMA wa Milele...si Mhayudi wala Mhutu awezaye kumwondolea mtu Uzima wake maana pumzi na Uhai vyatoka kwa Bwana!Wanajamvi kwa mara nyingine tena nawaletea hali ya afya ya mh Tundu Lissu kuwa sasa ni bora kuliko hata kabla haja shambuliwa.
Tujiandae kumpokea hapo muda wake wa kurudi nyumbani ukifika.
Wazalendo wote wa nchi hii tujiandae kumpokea kiongozi wetu kipenzi cha watanzania.
Hapa chini ni mh Lissu ktk hali yake ya sasa.View attachment 1116707
Ashukuriwe Kristo Yesu Bwana wa Uzima, ambaye yeye kwanza aliyashinda mauti pale msalabani ili sisi tupate kuishi na kuwa na UZIMA wa Milele...si Mhayudi wala Mhutu awezaye kumwondolea mtu Uzima wake maana pumzi na Uhai vyatoka kwa Bwana!
Lissu The GreatestWanajamvi kwa mara nyingine tena nawaletea hali ya afya ya mh Tundu Lissu kuwa sasa ni bora kuliko hata kabla haja shambuliwa.
Tujiandae kumpokea hapo muda wake wa kurudi nyumbani ukifika.
Wazalendo wote wa nchi hii tujiandae kumpokea kiongozi wetu kipenzi cha watanzania.
Hapa chini ni mh Lissu ktk hali yake ya sasa.View attachment 1116707
Tushukuru Mungu kwa hilo.Sasa dereva wake yupo wapi na watamficha mpaka lini ?Kwa kweli anapendeza ila ungeweka kavideo clip tuone miondoko tulinganishe na kabla ya kushambuliwa. All the same, binafsi nitafurahi kama pambanaji huyu atarudi na kuendeleza harakati kidemokracia. Mungu amuimarishe zaidi, Tanzania bado inamhitaji!
Wanajamvi kwa mara nyingine tena nawaletea hali ya afya ya mh Tundu Lissu kuwa sasa ni bora kuliko hata kabla haja shambuliwa.
Tujiandae kumpokea hapo muda wake wa kurudi nyumbani ukifika.
Wazalendo wote wa nchi hii tujiandae kumpokea kiongozi wetu kipenzi cha watanzania.
Hapa chini ni mh Lissu ktk hali yake ya sasa.View attachment 1116707
Ni wapi nilipoonyesha kuteseka.Mbona unateseka sana ukisikia mh sana Lissu anarudi akiwa salama na buheri wa afya?View attachment 1116856
You're right, raisi wetu TALRaisi wetu wengi mkuu
Mbona tumbo kitambi kama mimba .uliberali sio sera nzuri huku africa sijui kwa nini anang'ang'ania. Haina faida ila kwa ubeberu wa kigeni.Wanajamvi kwa mara nyingine tena nawaletea hali ya afya ya mh Tundu Lissu kuwa sasa ni bora kuliko hata kabla haja shambuliwa.
Tujiandae kumpokea hapo muda wake wa kurudi nyumbani ukifika.
Wazalendo wote wa nchi hii tujiandae kumpokea kiongozi wetu kipenzi cha watanzania.
Hapa chini ni mh Lissu ktk hali yake ya sasa.View attachment 1116707
Umefaham uimara uliokusudiwa kinakushangaza nini?Hata mimi nimeshangaa na kimsingi haiwezekani akawa katika uimara unaozidi kabla ya kushambuliwa!
Mku Simba aliyeshambuliwa ni mkali sana na ana nguvu za ziada za kujihamiHata mimi nimeshangaa na kimsingi haiwezekani akawa katika uimara unaozidi kabla ya kushambuliwa!