mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,793
- 7,171
Eeee Mungu fanyia huyu kiumbe wepesi arudi salama
Amesharuka nafasi za uenyekiti wa vyama, kwa sasa urais ndio size yake.
Ungenishangaza kama ungesema anachukua nafasi ya mwana ccm
Ushauri mzuri. Sina hakika kama ataupata.Tunamshukuru mungu aliyemuokoa mtanzania mwenzetu. Mola Afya na nguvu.
Lakini apunguze mwili na kitambi, uzito ni madhara kwa miguu na magoti, haswa yakiwa yameumia.