Sure mkuu?ndiyo adhabu anayostahili binadamu mwenzako kweli kwa mawazo yako? ni kweli wewe ni mzalendo kiasi hicho au kuna usilojua kuhusu thamani ya uhai wa binadamu mwenzio. Vipi kama angekuwa baba yako au mdogo wako na ndugu yako wa karibu ni lisu? umewahi vaa viatu vya familia yake? umeshawahi kufikiri wewe utakufaje na lini? ungependa kufa kwa style ambayo ilitaka kutokea kwa Lisu.
Okay unaweza kuwa kuna vitu vingi huvifahamu labda.hivyo nu busara sana kukaa kimya kama wanavyofanya wenye akili zao
kuna wakati nasikiliza watu huwa napata shaka sana juu ya tafakuli zao.yaani Lisu alikuwa tishio kiasi cha kitumia risasi nyingi vile na bado watu hawajiulizi aliponaje ponaje kile kifo.
Kauli kama hizi unaweza ambiwa uthibitishe na serikali .maana msaliti wa nchi hushughulikiwa na serikali .kwa mantiki hiyo.unatuaminisha hivi ndivyo serikali ilivyomshughulikia Lisu