Tundu Lissu yupo imara zaidi

Tundu Lissu yupo imara zaidi

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
123,250
Reaction score
98,243
Wanajamvi kwa mara nyingine tena nawaletea hali ya afya ya mh Tundu Lissu kuwa sasa ni bora kuliko hata kabla haja shambuliwa.

Tujiandae kumpokea hapo muda wake wa kurudi nyumbani ukifika.

Wazalendo wote wa nchi hii tujiandae kumpokea kiongozi wetu kipenzi cha watanzania.
Hapa chini ni mh Lissu ktk hali yake ya sasa.
FB_IMG_1559582481325.jpeg
 
Naona chuki na husuda vimewajaa kumuona mh Lissu kipenzi cha watanzania akiwa na afya tele.

Ndiyo yupo tayari kurudi kuendeleza mapambano ya kulikomboa taifa
Hata mimi nimeshangaa na kimsingi haiwezekani akawa katika uimara unaozidi kabla ya kushambuliwa!
FB_IMG_1559582481325.jpeg
 
Kwa kweli anapendeza ila ungeweka kavideo clip tuone miondoko tulinganishe na kabla ya kushambuliwa. All the same, binafsi nitafurahi kama pambanaji huyu atarudi na kuendeleza harakati kidemokracia. Mungu amuimarishe zaidi, Tanzania bado inamhitaji!
Wanajamvi kwa mara nyingine tena nawaletea hali ya afya ya mh Tundu Lissu kuwa sasa ni bora kuliko hata kabla haja shambuliwa.

Tujiandae kumpokea hapo muda wake wa kurudi nyumbani ukifika.

Wazalendo wote wa nchi hii tujiandae kumpokea kiongozi wetu kipenzi cha watanzania.
Hapa chini ni mh Lissu ktk hali yake ya sasa.View attachment 1116707
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Tl ni tegemeo kubwa kwa maendeleo ya kweli ya taifa letu
Kwa kweli anapendeza ila ungeweka kavideo clip tuone miondoko tulinganishe na kabla ya kushambuliwa. All the same, binafsi nitafurahi kama pambanaji huyu atarudi na kuendeleza harakati kidemokracia. Mungu amuimarishe zaidi, Tanzania bado inamhitaji!
 
Back
Top Bottom