Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 22,520
- 28,367
Labda risasi 16 zilizoingia mwilini zimeimarisha afya. Maajabu!Hata mimi nimeshangaa na kimsingi haiwezekani akawa katika uimara unaozidi kabla ya kushambuliwa!
Labda risasi 16 zilizoingia mwilini zimeimarisha afya. Maajabu!Hata mimi nimeshangaa na kimsingi haiwezekani akawa katika uimara unaozidi kabla ya kushambuliwa!
Mwenyenzi Mungu ana mpango naye ndo maana alimzungushia Ukuta wa moto,Makerubi, Mailaka Mku Mikael na Upanga wa moto kwa ajili ya ulinzi wakeMkuu hao watu uwezo wao wa kugundua mambo kwao ni tatizo
Mkuu, think before you lip.... "Kama ni afya si kawaida" 16 bullets in the body, mtu anapona... Unasema ni kawaida!!!??? Jivike ubinadamu japo kwa kujilazimisha, kuliko kujivika uchama.Nilifikiri anachukua nafasi ya Mbowe kama ni afya si kawaida!
Hivi hawa wako wapiWanajamvi kwa mara nyingine tena nawaletea hali ya afya ya mh Tundu Lissu kuwa sasa ni bora kuliko hata kabla haja shambuliwa.
Tujiandae kumpokea hapo muda wake wa kurudi nyumbani ukifika.
Wazalendo wote wa nchi hii tujiandae kumpokea kiongozi wetu kipenzi cha watanzania.
Hapa chini ni mh Lissu ktk hali yake ya sasa.View attachment 1116707
Nadhani hapo ni lugha ya kuonyesha kwamba "he is NOW stronger than he was before" After surviving 16 bullets, definitely he must have been another Lissu now. Hii unaweza kuielewa sasa.Hata mimi nimeshangaa na kimsingi haiwezekani akawa katika uimara unaozidi kabla ya kushambuliwa!
Hivi hawa wako wapiView attachment 1117130
Nadhani hapo ni lugha ya kuonyesha kwamba "he is NOW stronger than he was before" After surviving 16 bullets, definitely he must have been another Lissu now. Hii unaweza kuielewa sasa.
Sema anapaswa kupunguza uzito sababu naamini kuna udhaifu bado ktk mwili wake unaotokana na kuugua kwake,yafaa apunguze kitambi ili imrahisishie kufanya mazoezi na arudi 100% salama km zamaniHuyu Mungu huyu naona na kitambi kinaongezeka
Mkuu, think before you lip.... "Kama ni afya si kawaida" 16 bullets in the body, mtu anapona... Unasema ni kawaida!!!??? Jivike ubinadamu japo kwa kujilazimisha, kuliko kujivika uchama.
Kuuliza siyo Ujinga NduguUkishajua itapunguza maumivu aliyo yapata mh Lissu?
Niko Dar es salaam Nina zaidi ya miaka 10 sijaenda NairobiMkuu vipi Vipi mkuu bado upo Nairobi?