Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,674
- 272,512
Ni kifungu gani cha katiba hii kinachomruhusu Rais kupiga marufuku mikutano ya kisiasa ?True, sijui lakini kama watakuelewa! Inahitaji loud thinking
Ni kifungu gani cha katiba hii kinachomruhusu Rais kupiga marufuku mikutano ya kisiasa ?True, sijui lakini kama watakuelewa! Inahitaji loud thinking
Na aliehamasisha watoke nje siku ile ni Lipumba
leo Lipumba yuko wapi?
Mahali ambapo akili za hali ya juu ingetumika UKAWA wafanya mambo ya kijinga kuandamana na kususia vikao halali na vilivyo kaa kisheria.
Wamesusia bunge la katiba, wamesusia bunga, total work done ni zero.
Mkuu the boss tunarudi kulekule nilikokuambia hata kama rasimu ya Warioba ingepita bado kwenye kutekeleza ingetegemea utashi wa kiongozi wa kisiasa aliyeko madarakani. Nina mifano hapa chini kukuonyesha ninachoamini kuhusu wanasiasa kutelekeleza ama kutotekeleza kile wanachosema ama kilichopo,
- Ulisikia maneno ya JK baada ya kupokea rasimu ya Warioba na maneno aliyozungumza baada ya wanaccm wenzake walichofanya kwenye katiba pendekezwa?
- Ulikuwa unasikia zile lugha za kejeli walizokuwa wanatoa wanaccm kwa tume ya Jaji Warioba ambayo H.Polepole alikuwa mjumbe? H.Polepole huyuhuyu aliyekuwa hakubaliani kabisa na cheo cha mkuu wa wilaya leo ni nani?
- Huyo Lipumba leo unaweza kujua anasimamia nini mpaka uweze kuwa na imani kwamba hata kama katiba ile ingepita ingetekelezwa na wanasiasa. Huku africa hakuna kutekeleza katiba kama inavyosema bali ni hila tu ndio zinaamua katiba ifuatwe vipi.
CCM walienda kwenye Bunge la Katiba wakiwa na msimamo wao,na hata wale wengine walioteuliwa kwa "maelezo maalum" ambao walikuwa ndio tegemeo la wananchi kuwa akidi yaweza kutimia kwa kuunga mkono rasimu ya Warioba,nao walikuwa na "kaukasi" yao ambayo isingewezekana kwa vyovyote vile hoja yoyote kinzani na maslahi ya CCM kupita.
Rejea upigaji wa kura.
Ili mradi Rais ndo anamteua IGP basi polisi wataendelea tu kunyanyasa wapinzani
Hata JK kuna mambo yalikwenda kinyume na utashi wake
mfano ni nani kuwa Rais
so utashi wa Rais sio final.....anaweza kushindwa pia akipata upinzani mkubwa
Kwa katiba iliyopo sasa ni kipengele kipi kinaruhusu raisi kufanya anayo fanya Sasa,? Ile katiba ya BUNGE MAALUM iko wap kwa Sasa? Hizo hoja zako Hapo juu ningeziona za maana kama katiba ya sasa ingekuwa inaheshimiwa au ile ya BUNGE MAALUM ingekuwa imepitishwa.
Ukweli uliopo tawala wanaishiwa pumzi kila siku wamejishikiza kwenye nguvu ya serikali (majeshi)Kama hiki ndivyo hali halisi ilivyo ni kwa nini basi wasiruhusiwe waendelee na ujinga wao wa maandamano na mikutano ya hadhara?
Kwa anaejua ......UKAWA kukomalia hii hoja faida gani ungepata Upinzani Na Taifa kwa ujumla.?Katika maisha siku zote ni muhimu kukumbuka makosa tunayoyafanya mara chache sana sisi binadamu tunakumbuka na kukubali makosa ambayo tumeyafanya zamani na yanakuja kutuumiza leo.
Kama ndugu Tundu Lissu atapitia hapa ni vizuri akakumbuka kitu.
'Bunge la Katiba'.....
Hakuna mtu katika bunge lile la katiba aliekuwa na nguvu kama Tundu Lissu yeye alikuwa ndo 'roho' ya kila mtu alietaka 'Rasimu ya Warioba' hata UKAWA ni kama alianzisha yeye na wengine wakamuunga mkono.
Itoshe kusema kuwa kama Tundu Lissu angeweza kuwashawishi wenzie wabaki kwenye bunge la katiba kwa 'faida' zingine hilo lingewezekana
Tusisahau original wanaUKAWA walikuwepo hadi wana CCM ambao walikuwa
wanataka 'Rasimu ya Warioba' iheshimiwe.
lakini kosa kubwa kabisa la wanaUKAWA ni 'kubeba hoja za Tanganyika' mbele ya hoja zoote muhimu za Rasimu ya Warioba.
.
Kwa anaejua ......UKAWA kukomalia hii hoja faida gani ungepata Upinzani Na Taifa kwa ujumla.?
Nini hasa kilikuwa kinapiganiwa kwenye hii hoja.?
Kwa hiyo mkuu ni kwamba hii hoja endapo ingefanikiwa ingekuwa Na manufaa zaidi kwa Upinzani kuliko Taifa.?Mahesabu ilikuwa Mungano uvunjike
ili CCM isambaratike..wapate loophole ya kushika madaraka
Na ndio hili ambalo UKAWA walilipinga. Maana waliona pale kumbe kulikuwa na watu ambao walikuwa tayari wameamua kuwa iwe hivi,iwe mvua iwe jua,lazima iwe hivi. Sasa kama mtu mwenye akili umeshaliona hilo,kwa nini uendelee na upuuzi huo?Hili ni swali zuri sana. Kwa ufupi CCM waliacha kujadili rasimu ya Warioba wakaja na msimamo wa chama, matakwa ya chama yakawa mbele zaidi ya utaifa.
Also follow this poor argument from you and you will be in deep hole...Hakuna upinzani wa kisiasa, bali kuna Wanajazba kama Lissu!
Follow a wrong leader, and end up in a hole!
Sasa kwa hoja Hiyo mbona sioni jipya, Maana hata kama akina Tundu lisu wangekuwepo bungeni isingezaidia kitu, sababu hiyo katiba ya BUNGE maalum sio inayotumika Kwa Sasa,!!!.Katiba ya sasa Rais anamteua IGP
hiyo inatosha kumpa nguvu ya kutoa amri