KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,981
- 3,235
Huyo Lisu Tundu ni mpiga kelele hanaga cha maana.
Kwani tume huru ya uchaguzi ni kwajili ya Tundu Lissu, katiba mpya ni kwajili ya upinzani? ccm wakiiba Kura wanaopoteza ni wapinzani au sisi wenye nchi? Bandiri zimeuzwa na ccm baada ya kuiba kura,je bandari za wapinza au zetu sisi wenye nchi?Wao walitaka kupata kila kitu
kumbe wangepata tu hata Tume huru ya uchaguzi ingewasaidia....