Tundu Lissu rudi Shule

Tundu Lissu rudi Shule

chimwemwe67

Na wewe ni msomi? Hongera naona umetiririka kinoma msomi wa Eagle Collage of Management.

Ajira ni uhakika na kuongea kiingereza ni ndani ya siku mbili.

Hongera msomi.

umenitoa stress nlikua cjacheka kutwa nzima haha!
 
Last edited by a moderator:
Kombora la lissu litakuwa limegonga penyewe maana yake hizi yowe siyo za kawaida.

Mambo yameenda kinyume na vile walivyo tegemea wakati watu walitakiwa wawe na furaha baada ya CHADEMA kuwasaidia kumundoa mtu wao,kuondokana na chama chenye ukanda na udini sasa yowe zimetawaka kila kona hata ACT wanaona kigugumizi kumpeleka sijui nako kuna waka moto.
 
Barua ya kumvua uanachama iko wapi?

Kumbuka unapomfukuza mtu Kazi Kuna mawili au inategemeana kipindi unamfukuza anakuwa yupo ofisini au yuko nyumbani kwa uchunguzi. Inapotokea umejiridhisha na uchunguzi wako unao uwezo wa kumwandikia barua ya kumfukuza na hapo hapo kutangaza.

Ivyo basi kwa Zitto baada ya swala lake au tuseme zuio lake mahakamani kushindwa inamana akawa ameshajiondoa moja kwa moja kwenye chama kwasababu sheria anazijua kuwa ukiishtaki chama mahakamani mojakwamoja wewe sio mwanachama tena. Kwahiyo mwanasheria wa Chadema alipotangaza kuwa Zitto sio mwanachama. Barua iliandikwa siku hiyo hiyo ilipotolewa taarifa kwa wanachama wa Chadema. Na sio lazima Zitto akuonyeshe barua aliyoandikiwa, kwani wewe ni nani hasa kwa Zitto
 
tUHUMA HUJIBIWA KWENYE MAMLAKA HUSIKA SIO MTANDAONI...SUCH ANONIMOUS WRITINGS ARE NOT RELIABLE, MARA NGAPI WASANII WANAKANA TOVUTI ZAO?

Nanyi tuhuma zake zipelekeni kwenye mamlaka husika. Sio kuja hapa nakubwabwaja.
 
That is lay man arguement.
Do you think that amendment of law is due to illigality of some provisions or what?.
Law are generally amended to suit the circumtance of the prevailling social,political and Economic development since the society is not stagnant!

Kwanza inaonekana wewe sio mwanasheria kama mimi, pili lugha inakusumbua. Unashindwaje kutofautisha kati ya correct na illigality?
Kama hujaelewa sema nikufafanulie.
 
Hiyo ndiyo katiba ya CHADEMA na ndiyo imeshasajiliwa kwa msajili wa vyama vya siasa nchini...una lingine?
Kama huna lingine vizuri, haya nenda kasome katiba/sheria ya FIFA

Hahaha eti ya FIFA.
 
When arguing with someone in an attempt to get at an answer or an explanation, you may come across a person who makes logical fallacies. Such discussions may prove futile. You might try asking for evidence and independent confirmation or provide other hypotheses that give a better or simpler explanation. If this fails, try to pinpoint the problem of your arguer's position. You might spot the problem of logic that prevents further exploration and attempt to inform your arguer about his fallacy.

.............Confirmation biased people (similar to observational selection): This refers to a form of selective thinking that focuses on evidence that supports what believers already believe while ignoring evidence that refutes their beliefs. Confirmation bias plays a stronger role when people base their beliefs upon tradition and prejudice.

Ulikua unataka kumaanisha nini mkuu.
 
Na nyie Wandengereko endeleeni na Genge(CCM)yenu iliyopoteza Dira na mwelekeo.
chadema ni taasis inayojitegemea na kwamba haitegemei umaarufu wa mtu mmoja mmoja.Kwa uhalisia na jinsi wana CCM mnavyolalamika ni dhahiri CHADEMA kimewashika pabaya hadi mnaweweseka,na kujambajamba hovyo.
CCM iliwajadili kina LOWASSA lakini hawakwenda mahakamani kwa sababu waliheshimu Katiba ya chama japo ni mbovu. na kwa nini yeye ZITTO hakueshimu maamuzi au Katiba ya chama?
Wakifanya CHADEMA ni dhambi ila wakifanya CCM ni baraka?

US uhakika wewe au
 
hata wanasheria wa CCM wanakili kua TUNDU LISSU ni mwanasheri mwenye uwezo mkubwa na wanatamani hata angekua mwanasheria awo ila hawana uwezo wa kummiliki hata BABA MILAJI hilo analijua alisha wahi kukili siku moja kua LISSU ni mwanasheria mzuri sana
 
Zitto na Chadema imebaki kua history,hayo mengine ni porojo tu!!kama wewe u re good katika law ungetoa ushauri huu wa kisheria mapema kwa jopo la wanasheria wa Zitto,otherwise kwa sasa ni ushuzi mtupi!!Zitto jitahidi usije kuishia kama Dk Aman Warid Kaborou
 
Huyu mleta ni mada ni mmojawapo wa wasomi wa ccm wanategemea mimi hakuna watu ninawadharau kama wasomi wa tanzania wao ndo wanatumia na ccm kama toiler hawajitambua kabisa Zitto nenda kaungane na wasaliti wenzako huko ACT au CCM.Chadema hatuna muda wa kulea wanafiki kama wewe.
 
hata wanasheria wa CCM wanakili kua TUNDU LISSU ni mwanasheri mwenye uwezo mkubwa na wanatamani hata angekua mwanasheria awo ila hawana uwezo wa kummiliki hata BABA MILAJI hilo analijua alisha wahi kukili siku moja kua LISSU ni mwanasheria mzuri sana

Hamna kitu mkuu huyo ni mbumbumbu tu mropokaji.
 
Back
Top Bottom