Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,423
lissu naona sa iv kuna watu wanamX
Hapo ulivyoitumia hiyo condition ya ubatili kuna factor hujaiangalia vema kwamba itakapotokea sasa ile kesi uloipeleka mahakamani wewe mpelekaji umeshindwa hapo ndipo na uanachama umekushinda siyo kwamba kukipeleka tu chama mahakamni basi wewe siyo mwanachama.
Nafikiri umeelewa.
Hata spika Makinda aliamuru bunge kupuuzia amri ya mahakama iliyozuia kujadili suala la ESCROW bungeni. Makinda inabidi ahamie CHADEMA kwani huku CCM hatufaiSiku ambayo Chadema wanaota kutawala nchi nina uhakika mhimili wa MAHAKAMA hautakuwepo.Kwa kuwa katiba yao haitambui mahakama kama chombo cha kusimamia Haki.
ninyi wanasheria wa Tz ni wehu sana. Njaa itaamaliza. Hata wewe kuna kamkate kako unatetea hapa. ZZK hajakanusha popote madai ya usaliti, that means tuhuma dhidi yake ni ukweli mtupu.
Kama hajaridhika akate rufaa kama ulivyomshauri
Katiba ya Chama chochote cha Siasa au kinginecho au sheria yoyote inayomzuia mtu yeyote kwenda Mahakamani kudai haki yake kwa kuona kama imekiukwa au inaelekea kukiukwa, katiba au Sheria hiyo ni batili tangu mwanzo wake (Null and void ab initio). !
nyie wachaga endeleen na chama chenu kwan tatzo nn
Acha uwoga changia mada iliyopo mezani.