Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Hamuelewi bunge linavoendeshwa na sheria za maswali zikoje, kama ni swali la nyongeza na halihusiani na swali la msingi hilo huwa swali jipya, na swali jipya lina njia zake za kufikishwa ili lijibiwe kwa kina. Upo hapo ulipo?
Dada/kaka hivi angekua waziri mpenda kucheza na jukwaa (ndugu Makomeo) hangeshindwa kujibu swali kama ilo? Au unataka kutetea utendaji mbovu wa waziri Maige?