simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Lisu amepasi.Amesulubiwa kwa kutetea Watanzania.
Tena akiichukua nchi inabidi arudishe Mali zote ccm ilizo jimolikisha kihuni kwa wananchi, Kama maredio viwanja vya michezo na majengo ya biasharaLisu tu ndiye anaweza kutukwamua wanyonge toka kwenye Lindi la ufukara uliosababishwa na ccm.
Rudi shule
You are a patient of tomorrow...Like their leader like the followers they are all all mentally unfit how could you support a qualified schizophrenic patients traumatized
Joka la Kibisa linamtisha nani?kesho ndo kesho. simba wana mwamba wa lusaka. sisi tuna mwamba wa Tanzania.
Lissu atanguruma kesho. kuweka mezani mbivu na mbichi kuelekea uchaguzi mkuu.
je, mtandao wa internet utazimwa?
JF itakuwa haifunguki?
nawaza tu.
Inchaji.
Huyo mlemavu wa akili na viuongo ambaye hata angegombea ubalozi asingepata azimiwe mtandao you are mental compromised Drancunculus qualified schizophrenic hallucinated manic idiot
Awamu ya 5 ni waoga kuliko unavyodhani , angalia muswada wa kiboya wanaopeleka bungeniKwani kuna sababu gan ya mtandao kuzimwa? ..UA unaongozwa na hisia mkuu
Magonjwa mtambukaHuyo mlemavu wa akili na viuongo ambaye hata angegombea ubalozi asingepata azimiwe mtandao you are mental compromised Drancunculus qualified schizophrenic hallucinated manic idiot
Ushawishi wa kutetea kampuni za mabeberu kama Acacia! Na kudanganya watu habari za MIGA!Mkuu samahani, hawamuogopi kwa lolote, ila wanamchukia kupita kiasi. Wanajua jamaa na ushawishi wa hali ya juu, na huwa anaweka mambo hadharani.
Ushawishi wa kutetea kampuni za mabeberu kama Acacia! Na kudanganya watu habari za MIGA!
nina power bank inaweza kufanya kazi mwezi mzima bila kuchajiwaWanaweza wakazima umeme kesho
Mabeberu na kampuni zao sasa hivi wanakuja kivingine. Serikali inapata 16% na 50% economic benefits,kitu ambacho mtetezi wa mashoga alikuwa hataki serikali inufaike.Hata kampuni zote za madini hapa nchini sasa hivi ni za hao hao mabeberu, je huyo Lissu ndio atakuwa na mabeberu tofauti na hawa waliopo? Ukiwa bendera fuata upepo, hata uwezo wa kupambanua mambo unakuwa mdogo. Unakwama wapi chagu wa malunde?