Tundu Lissu ni shujaa

Shujaa anayejiamini hawezi kuwa na mipango ya kuondoka nchini baada ya uchaguzi na tiketi mkononi..

Shujaa angekuwa anajihamini angetulia ili akijua kma angekuwa Rais basi angeweza leta hao anataka wafata wamfate huku..

JPM 💯💛💚💛💚💛
 
Narudia tena, hatuwezi kuuza Nchi.

Hamuwezi kutuyumbisha hata kidogo.

Nyie wazee wa mihemko.

Tunawajueni vizuri sana, kama hamkujifunza kipindi cha Edward Lowassa, hamtoweza kujifunza tena.

Mkishikwa akili kidogo mnafuata mkumbo
Dikteta Magufuli hana nafasi tena mioyoni mwetu.
Dikteta.jpg
 
Pamoja na yote yaliyomkuta, Tundu Lissu hakuogopa kurudi nyumbani na tena sio kurudu tu bali kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na aliporudi hakukaa kimya amezungumza ukweli wote wa mambo bila chembe ya uoga...
Ninyi mnajua aina ya watu waliokuwa wanajazana kwenye mikutano yake ya kampeni. Ni kundi la watu wanaoshabikia matukio na vituko. Wameona na kufurahia vituko, wakacheka, kuzomea na kupiga miluzi.

Lakini leo wanamchagua wagombea wenye hoja za Tanzania mpya yenye kutiririka asali. Matokeo yatakuwa hivi:

√ CCM, 90%;

√ ACT - Wazalendo, 3% (hasa wabunge kutoka Serikali ya Mapibduzi Zanzibar);

√ NCCR - Mageuzi, 3%;

√ CHADEMA, 2%;

√ CUF, 1% (hasa majimbo ya mwambao); na

√ Vyama vilivyobaki, 1% (hasa madiwani kwa baadhi ya majimbo na kwa sifa bibafsi za wagombea)

Tukutane hapa baada ya uchaguzi

cc: BAK na kundi lake
 
Ni zaidi ya Nyerere. Huyu atamtoa mkoloni mweusi

Nyerere hajawahi kuwa mropokaji, Nyerere hajawahi kujipendekeza au kuomba kuungwa mkono na mataifa ya Ulaya ili aingie madarakani,sera za Lissu ikiwemo kupinga muungano hazina tija kwa ustawi wa mataifa haya mawili. HAFAI
 
Sasa unataka abarikwe wakati uo uo ana mtumia wakili Amsterdam ambaye ameolewa, yeye mwenyewe Lisu ana pambana ili watu wa mapenzi ya jinsia mmoja wasibugudhiwe, Wakati uo uo ana beza Mungu alivyo iponya Tanzania na Corona. Mbona Kama mnaji changanya.
Wakati uo uo unamaanisha nini? Kama kiswahili Chako ndio hicho basi nimeshajua wewe ni aina gani ya kiumbe!!
 
Kwa NEC hii - tawi la CCM - hata apate kura zote hawawezi kumtangaza kuwa mshindi. Lakini kwangu mimi ninaona alichofanya katika kipindi hiki cha kampeni ni USHINDI wa aina ya pekee. Magufuli ame-terrorize kila segment ya jamii kwa kipindi cha miaka mitano: neno alilotamka hata kama ni kukohoa limekuwa sheria, wanasiasa walifungiwa kufanya siasa, bunge likafungiwa kufanya kazi za kutetea wanananchi na kuwajibisha serikali likabaki kupongeza kila utopolo, tasnia ya habari ikawekwa makufuli, wanataaluma wakageuzwa kuimba nyimbo kama watoto wa chekechea -

hakuna tena tafiti za maana labda zile zitakazotoa majibu ya kupongeza, watu walipigika lakini wakawa hawana pahali pa kupazia sauti zao, nk nk. Pamoja na vikwazo alivyowekewa na vyombo vya dola na vya binafsi (kwa maagizo ya Magufuli) TAL amekuwa jasiri, amekuwa na uthubutu katika kipindi hiki cha kampeni na hivyo kuwa SAUTI ya walionyongenyezwa, walio wengi - the people.

Watu wamejisikia ahueni katika vichwa na mioyo yao, na kuwa na matumaini yaliyotoweka. HONGERA SANA TAL umetimiza wajibu wako na utabakia katika historia ya mashujaa wa nchi hii. Pia HONGERA kwa 'wanyonge wa magufuli' (wananchi wa kawaida) kwa kumdhihirishia mbele ya macho ya dunia kuwa nyie sio wajinga kama ambavyo yeye na timu yake ya akina polepole wametokea kujiaminisha ama kutaka kuuaminisha ulimwengu kuwa anapendwa sana pamoja na ufedhuli wake. Wananchi wa Tz (ukiweka kando wasomi ambao ni wa binafsi na hivyo kuishia kujipendekeza kwa mafedhuli) na nyie ni MASHUJAA. Huu ni ushindi!!!!
 
Kwa NEC hii - tawi la CCM - hata apate kura zote hawawezi kumtangaza kuwa mshindi. Lakini kwangu mimi ninaona alichofanya katika kipindi hiki cha kampeni ni USHINDI wa aina ya pekee...
Wacha uongo wewe, hakuna mwanasiasa aliyezuiwa kufanya siasa kama alifuata tafatibu za nchi. Vyombo vya habari vilivyokiuka sheria pia zilifungiwa, hilo sio geni miaka yote. Huyo mnayemuita shujaa ndio huyohuyo aliyekuwa akiwakingia kifua a acasia na mikataba yote ya hovyo ya wawekezaji wa nje iliyokuwa ikilitia Taifa hasara.

Kama kweli alikuwa akiupigia kelele udhalimu huu,iweje leo ageuke kuitetea?huyu ni mlanguzi wa siasa. Kama haikutosha,amezunguka mataifa ya ulaya kuiponda na kuzishawishi nchi mbalimbali kutoisaidia nchi yake,wanaoumia ni akina nani kama sio hawa leo aliokuja kuwaomba kura?,kesho watamuonyesha rangi zote asubuhi tu😃.

Tuone sasa kama hao wazungu watamsaidia kuingia madarakani. Hafai huyo, anataka kutulangua tu kwa wazungu,narudia tena,HAFAI na kesho atalipata somo,kama bado haelewi.
 
Umechelewa watanzania wameshaamua ni mitano tena kwa MAGUFULI, karibu kwenye sherehe ya kuapiswa Rais uwanja wa Jamuhuri jijini Dodoma.
Hujui unachoongea. Raisi aliyeko madarakani akishinda uchaguzi wa awamu ya pili haapishwi kwa mara ya pili. na pia awamu haibadiliki atabakia kuwa wa awamu ya 5 siyo 6. Nawaonea huruma wazazi wako waliouza mifugo kusomesha ngombe
 
Shujaa wa kuwatesa watu kama sasa kazima Whatsapp ili afanye unyama wake Duniani wasijue nini kinaendelea
Wewe endelea kutoa ushuzi...leo ndio leo tunaenda kumpa Magufuli USHINDI wa KIHISTORIA. Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Huwa sipigi kura kama hakuna mgombea anaekonga moyo wangu. Huko nyuma Dr. Slaa alinitoa nyumbani na nikampa kura yangu. 2015 sikupiga kura nilizira. 2020 nasubiri kwenda kituoni kwani ashinde asishinde Lissu anakitu cha kuwapa watanzania. Ni YEYE.
 
Tundu Lissu kishaweka histori ya kipekee katika taifa letu hadi sasa kabla ya matokeo ya uchaguzi.

Huyu ni binaadam wa kipekee sana. Ni watu wachache wenye ujasiri na siha ya akili wa aina yake.
 
Huwa sipigi kura kama hakuna mgombea anaekonga moyo wangu. Huko nyuma Dr. Slaa alinitoa nyumbani na nikampa kura yangu. 2015 sikupiga kura nilizira. 2020 nasubiri kwenda kituoni kwani ashinde asishinde Lissu anakitu cha kuwapa watanzania. Ni YEYE.
What an empty nut..
 
Hujui unachoongea. Raisi aliyeko madarakani akishinda uchaguzi wa awamu ya pili haapishwi kwa mara ya pili. na pia awamu haibadiliki atabakia kuwa wa awamu ya 5 siyo 6. Nawaonea huruma wazazi wako waliouza mifugo kusomesha ngombe
SIBISHANI NA WATOTO KAMA WEWE CHA KUFANYA SUBIRI UTAPATA MAJIBU MOJA KWA MOJA TOKA DODOMA< UNAKARIBISHWA KUJA KUONA>
 
Back
Top Bottom