Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo(Mashariki), Kenya (wale choka mbaya) na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.

Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!

Next, ...
Wazungu wana data zote mpaka sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una Stresses za maisha wewe jikombe upewe buku 7 yako uishi vyeo vimeisha.
Watu kama Lissu wanazaliwa Mara chache sana ktk Dunia.Mungu alimlinda na wauaji kwa makusudi yake
Analingabisha kipaji uelewa , akili na utajiri matajiri mbona wako wengi na wengine ni mataahira. Achana na hao watu wasiyo na uelewa usiwajibu maana hawawezi kukuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa Ikungi Chadema wanatangaza kwamba kuanzia saa3 watu watakusanyika Bar maarufu kuangalia mahojiano ya BBC na kipenzi chao.

Kuna mbibi wanazunguka nae anasema "hatutaki maccm tunamsubiri Lissu"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima mpate laana kutoka kwa mwenyezi mungu kwa kutaka kuyadhuru maisha ya kiongozi kipenzi cha mamilioni ya watanzania

In God we Trust
 
Yule mwana siasa nguri na mtu pekee aliyenusurika kupotezewa uhai wake na wabaya wake baada ya kupigwa risasi za kutosha amepona na sasa hivi yupo ktk studio za BBC nchini uingereza anaelezea kilicho mkuta. Mwenye macho na atazame

View attachment 995391


In God we Trust

======

Jana Lissu aikuwa BBC HARDtalk na Stephen Sackur. Interview itarushwa Jumatatu ijayo.

Aidha, alikuwa pia na Zuhura Yunus wa Idhaa ya Kiswahili. Kipindi kitarushwa kesho (Januari 16, 2019)
Sasa Itabidi ufanyike utaratibu kumtafsiria jamaa yetu maana atatoka kapa na PhD yake ya kuunjunga.
 
Jinga kabisa wewe. Soma tena uelewe... Jinga wewe
Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo(Mashariki), Kenya (wale choka mbaya) na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.

Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!

Next, ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
natayarisha Tshirt maalumu za kuvaa siku Lissu atakapoingia tena Tanzania,siku hiyo itakuwa haina tofautina siku tuliyopata uhuru, Mungu mbariki Lissu na waangamize waliotaka kumuua
 
natayarisha Tshirt maalumu za kuvaa siku Lissu atakapoingia tena Tanzania,siku hiyo itakuwa haina tofautina siku tuliyopata uhuru, Mungu mbariki Lissu na waangamize waliotaka kumuua
 
natayarisha Tshirt maalumu za kuvaa siku Lissu atakapoingia tena Tanzania,siku hiyo itakuwa haina tofautina siku tuliyopata uhuru, Mungu mbariki Lissu na waangamize waliotaka kumuua
 
Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo(Mashariki), Kenya (wale choka mbaya) na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.

Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!

Next, ...
Barbarossa=Barbarian. Uncouth, uncultured, uneducated barbaric
 
1547644193202.png

Tusijisahau kwamba ukoloni maboleo bado upo na mabeberu bado wanaendelea kufanya juhudi za kuhakikisha wanatunyonya, na Kiongozi yeyote wa Africa anayethubutu kuwazuia hawezi kuwa rafiki wa hao ambao walikuwa wananufaika kwa kutunyonya" Amesisitiza Mh: Dkt. Obasanjo.
 
Hamna kipindi kibaya kama hiki . Trump hata washiriki zake hata kuwasaidia na sera zake hazina kipaumbele kwa Afrika. Hadi leo Marekani haina balozi Tanzania. UK inahangaika na Brexit. EU ina matatizo na Urusi, Brexit na kwa kifupi pale amebaki Mjerumani na Mfaransa ambao hawana ushawishi huku. Inabidi ajiulize kwanini yale matukio makubwa yalishindwa kushawishi hao wazungu na asipokiwa makini akifeli CCM watammaliza kisiasa.

Usiwaingize ccm kwenye ujima huu. Ccm imeongoza nchi hii miaka yote lakini siku zote watu wa nchi hii wamejisikia taifa la watu huru wenye umoja, amani na linalowatendea watu haki. Leo kila kukicha tunaambiwa eti uhuru una mipaka! Huu huu uhuru aliopigania Nyerere eti leo unawekewa mipaka kwa sababu ya mbilikimo wa siasa.
 
Back
Top Bottom