Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Kwani kuna ushindani wa kuhojiwa?hao serikali walishindwa nini kwenda huko BBC ili walitolee maelezo tukio la shambulizi la mh Lissu?

In God we Trust
Wa kuhojiwa na hardtalk ni nani? Unataka aje hapa alaf azimiwe mkarimani.
 
Lissu anatisha na wengine wanajidai kumuiga hata kwenye mambo wasiyo yaweza na kuliingiza taifa kwenye giza
Jiandaeni kumuua tu maana huyo jamaa hawezi kubadili anachoamini, nimejifunza mengi sana kupitia Lissu he is a great lad. Anasimamia anachoamini na mwanaume unatakiwa uwe hivyo sio kujipendekeza.

In God we Trust
 
Yule mwana siasa nguri na mtu pekee aliyenusurika kupotezewa uhai wake na wabaya wake baada ya kupigwa risasi za kutosha amepona na sasa hivi yupo ktk studio za BBC nchini uingereza anaelezea kilicho mkuta. Mwenye macho na atazame

View attachment 995391


In God we Trust

======

Jana Lissu aikuwa BBC HARDtalk na Stephen Sackur. Interview itarushwa Jumatatu ijayo.

Aidha, alikuwa pia na Zuhura Yunus wa Idhaa ya Kiswahili. Kipindi kitarushwa kesho (Januari 16, 2019)
1
 
Inashangaza Sana binadamu wanaofurahia wenzao wanapopata matatizo,Lissu ni binadamu pia,unapoonyesha hisia za kumchukia hutaeleweka vema.
 
Inashangaza Sana binadamu wanaofurahia wenzao wanapopata matatizo,Lissu ni binadamu pia,unapoonyesha hisia za kumchukia hutaeleweka vema.
Hao roho zao ni mbaya kuliko hata za nyoka maana nyoka asili yake ni kuumiza tu

In God we Trust
 
Watawala sasa wanahangaika na Lissu kwa kumjibu na kusahau kuwa ndiyo tunaingia 2020 bado hatujapewa laptop zetu na ile 50m kila kijiji

In God we Trust
 
Sasa wameanza kurusha ngumi hewani eti wanamjibu na kumpatia ushauri

In God we Trust
nimemsikia kubwalamaadui BASHITE eti anampa ushauri arudi kuwaona wapiga kura wake.. huyu mdudu ni sheitwaan mkubwa anaeonekana mitaani lengo lake afanikishe mauaji yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halina aibu kabisa hilo dude linadhani watanzania tumeshasahau machungu ya mh lissu
nimemsikia kubwalamaadui BASHITE eti anampa ushauri arudi kuwaona wapiga kura wake.. huyu mdudu ni sheitwaan mkubwa anaeonekana mitaani lengo lake afanikishe mauaji yake

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Back
Top Bottom