Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Serikali nzima imeingia aibu yani tunawaona mnavyoangalia BBC vyumbani mwenu kwa aibu maana mkiangalia sebuleni hata watoto zenu watawauliza baba/mama huyu ndio mlitaka kumuua kwann? Aliwakosea nn?

Angalau aibu haitakuwepo kwa mama Samia na wote walioenda kumuona hao mwenyezi mungu amewasamehe ila wale wengine na waliokataa kumtibu aibu Hii itawatafuna mpk mnaingia kaburini na siku akiingia bungeni sijui sura zenu mtazificha wapi kwakweli mlaaniwe milele aibu iwe juu yenu

Lissu mungu ana sababu za kulinda uhai wako pia sio wote walioko serikalini na kwenye kitengo walipendezwa na shambulio lile hao mungu aendelee kuwapa moyo mkuu wa kuchukia uovu
 
Yule mwana siasa nguri na mtu pekee aliyenusurika kupotezewa uhai wake na wabaya wake baada ya kupigwa risasi za kutosha amepona na sasa hivi yupo ktk studio za BBC nchini uingereza anaelezea kilicho mkuta. Mwenye macho na atazame

View attachment 995391


In God we Trust

======

Jana Lissu aikuwa BBC HARDtalk na Stephen Sackur. Interview itarushwa Jumatatu ijayo.

Aidha, alikuwa pia na Zuhura Yunus wa Idhaa ya Kiswahili. Kipindi kitarushwa kesho (Januari 16, 2019)
So baada ya hapo what comes next?
BBC watamuapisha kuwa rais wa Tanzania?
Je kipi cha kushangilia hapo, ni ajabu sana kwa akili za bavichaa mnazijua wenyewe .

Sasa hivi mmemtosa mbowe issue ni Lusu?
tapatalk_1546618366899.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi kile Trump alikuwa bado anasoma

In God we Trust
Hamna kipindi kibaya kama hiki . Trump hata washiriki zake hata kuwasaidia na sera zake hazina kipaumbele kwa Afrika. Hadi leo Marekani haina balozi Tanzania. UK inahangaika na Brexit. EU ina matatizo na Urusi, Brexit na kwa kifupi pale amebaki Mjerumani na Mfaransa ambao hawana ushawishi huku. Inabidi ajiulize kwanini yale matukio makubwa yalishindwa kushawishi hao wazungu na asipokiwa makini akifeli CCM watammaliza kisiasa.
 
Back
Top Bottom