Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Safi sana.

Kwakweli stataka nipitwe katika Mahojiano yake na Stephen sackur Hardtalk.

Stephen sackur yupo njema sana katika kuuliza maswali na huwa anafanya utafiti mkubwa sana kabla ya mahojiano.

Kutokana na Maswali ya Stephen naamini nitapata Mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa kaka yangu Tundu lissu.


Matteo Salvini the Deputy Prime Minister-Italy alipata kuingia hard talk,Nilijifunza Mengi.


Kama kuna upatikanaji wa BBC nadhani ni jambo zuri tukiitazama Hardtalk Stephen sackur vs Tundu lissu.


Saizi Hardtalk ipo hewani.

Stephen yupo na Writer Jonathan Coe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Bila shaka serikali itaendelea kushutumiwa. Ili kutenda haki itabidi Stephen Sucker aje Tanzania kuwahoji upande wa pili. Namna hiyo stori hii itanoga sana. Uhuru Kenyatta alikuwa kwenye Hardtalk miezi michache iliyopita ingawa alihojiwa na Zaina Jedawi!
 
Kwani kuna ushindani wa kuhojiwa?hao serikali walishindwa nini kwenda huko BBC ili walitolee maelezo tukio la shambulizi la mh Lissu?
Bila shaka serikali itaendelea kushutumiwa. Ili kutenda haki itabidi Stephen Sucker aje Tanzania kuwahoji upande wa pili. Namna hiyo stori hii itanoga sana. Uhuru Kenyatta alikuwa kwenye Hardtalk miezi michache iliyopita ingawa alihojiwa na Zaina Jedawi!

In God we Trust
 
Hiyo ndiyo akili ya chakubanga,hata hivyo anajitahidi kutaka kuuzima huu uzi ingawa kazidiwa na nguvu za wananchi wenye mapenzi na mh lissu
Exactly. Kwenye Uzi wa mtifuano wa Ndugai na CAG, kikokotoo they were nowhere to be seen.

In God we Trust
 
Usiwaingize ccm kwenye ujima huu. Ccm imeongoza nchi hii miaka yote lakini siku zote watu wa nchi hii wamejisikia taifa la watu huru wenye umoja, amani na linalowatendea watu haki. Leo kila kukicha tunaambiwa eti uhuru una mipaka! Huu huu uhuru aliopigania Nyerere eti leo unawekewa mipaka kwa sababu ya mbilikimo wa siasa.
Tutamkumbuka sana baba wa taifa

In God we Trust
 
Unaweza ukawa right lakini pia unaweza kuwa wrong. Tumeshawaona wengi wakienda hapo HardTalk tena siyo ya steven Sackar unakumbuka mauaji ya Zanzibar?? Mkapa alihojiwa na nguli wa HardTalk kabla ya Stephen Sackur mtu anaitwa Tim Sebastian. watu tulifikiri yatakua kama unavyofikiria leo.

Shambulio la Lissu na mauaji ya Zanzibar au hata ya maandamano Arusha ni ardhi na mbingu. Hayastahili kulinganishwa hata kidogo. Ndiyo maana Mkapa alikuwa na ujasiri wa kushiriki mahojiano kwani pamoja na kwambà maisha ya watu yalipotea lakini kulikuwa pia na hali tete kisiasa iliyohitaji maamuzi hata kama baadaye ilionekana kuwa na makosa. Hivi kwa shambulio la Lissu kuna mtu yuko tayari kujibu maswali ya bbc? Kwa hakika hakuna.
 
Mkuu siyo kuhojiwa tu bali kulizungumzia hilo tukio wanalikwepa kwa juhudi kubwa sana
Shambulio la Lissu na mauaji ya Zanzibar au hata ya maandamano Arusha ni ardhi na mbingu. Hayastahili kulinganishwa hata kidogo. Ndiyo maana Mkapa alikuwa na ujasiri wa kushiriki mahojiano kwani pamoja na kwambà maisha ya watu yalipotea lakini kulikuwa pia na hali tete kisiasa iliyohitaji maamuzi hata kama baadaye ilionekana kuwa na makosa. Hivi kwa shambulio la Lissu kuna mtu yuko tayari kujibu maswali ya bbc? Kwa hakika hakuna.

In God we Trust
 
Anadanganywa na chakubanga kuwa ni mungu wa watanzania
Wote waliosoma masomo ya arts wanaungaunga?? Wote waliosoma sayansi hawajawahi kuungaunga?
Hiyo sayansi yako ya kukariri imelisaidia nini taifa?
Wewe umesoma sayansi au historia ya sayansi?
Punguza dharau na kejeli. Au mwenzetu unaujua mwisho wako?

In God we Trust
 
Kwa huu uzi tumeweza kuanza kuwajua wabaya na wanao lichafua taifa

In God we Trust
 
Amina mkuu na mungu akuongezee kipato ili ufanikishe hilo kusudio lako
natayarisha Tshirt maalumu za kuvaa siku Lissu atakapoingia tena Tanzania,siku hiyo itakuwa haina tofautina siku tuliyopata uhuru, Mungu mbariki Lissu na waangamize waliotaka kumuua

In God we Trust
 
Usiwaingize ccm kwenye ujima huu. Ccm imeongoza nchi hii miaka yote lakini siku zote watu wa nchi hii wamejisikia taifa la watu huru wenye umoja, amani na linalowatendea watu haki. Leo kila kukicha tunaambiwa eti uhuru una mipaka! Huu huu uhuru aliopigania Nyerere eti leo unawekewa mipaka kwa sababu ya mbilikimo wa siasa.
Waulize wa Zanzibar Mara mwisho walijisika guru lini? Na je Baba wa Taifa alikuwepo au LA?
 
We unaakili kweli sie wamatumbi ndio tunataka kusikia yaliyomsibu mwenzetu na muujiza uliomponya ili nasi tuwatafutie adhabu wadhalimu.

Wakati mnamdhuru mlisema anawatibulia dili lenu na acacia vipi noah zetu, na matipa ya dhahabu baada ya jaribio lenu mmeshapata zaidi ya kututengenezea sinema za sengerema na policcm.

Mzungu huu mziki atuachie wenyewe tutamalizana nao. Audience wa kongo kenya, burundi ni muhimu sana sababu haya madikteta yanaweza torokea huko acha wapate akiba ya maneno tunajua ulaya hawawezi kwenda.

Wazungu wataongea na mambosasa ndio anaowatafuta waliomteka MO na akaishia kumnasa Manara.

Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo(Mashariki), Kenya (wale choka mbaya) na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.

Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!

Next, ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom