Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,872
- 32,650
Sijatumwa.Magonjwa Mtambuka umetumwa kuja kuharibu huu uzi???
Sijatumwa.Magonjwa Mtambuka umetumwa kuja kuharibu huu uzi???
Ahhh wapiKwa Habari hii tayari kuna watu boxer zao zimeshaanza kupata unyevunyevu.
jiandaeni kukaa giza mpaka afajiriYule mwana siasa nguri na mtu pekee aliyenusurika kupotezewa uhai wake na wabaya wake baada ya kupigwa risasi za kutosha amepona na sasa hivi yupo ktk studio za BBC nchini uingereza anaelezea kilicho mkuta. Mwenye macho na atazame
View attachment 995391
In God we Trust
======
Jana Lissu aikuwa BBC HARDtalk na Stephen Sackur. Interview itarushwa Jumatatu ijayo.
Aidha, alikuwa pia na Zuhura Yunus wa Idhaa ya Kiswahili. Kipindi kitarushwa kesho (Januari 16, 2019)
HahahahaSijatumwa.
Hahahaha
kama nakuona hapo bikiniNilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo, Kenya na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.
Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!
Next, ...
inakutetemeka
Haya mambo ni mazito kulinganisha na uwezo wa akili yako. Achana nayo vinginevyo utazidi kuthibitisha umbumbumbu wako kama ulivyofanya hapa. Am certain 110% hujui hata Hardtalk iliyoongelewa ni nini.Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo, Kenya na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.
Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!
Next, ...
Mbona umechanganya madesa? Mbowe ameanza kuwa na hela wewe hujazaliwa? Mbona hujiulizi ana nyumba masaki, obey unashangaa ofisi, tena imejengwa Hai? Maskini wa kutupwa wewe. Hushangai nyumba ya Dr wa mihogo mbweni alipewa na Mbowe, hushangai ze propesa alisema akitingwa alikuwa anakimbilia kwa Mbowe, au hujamuuliza Zitto hadi nguo alikuwa ananunuliwa na Mbowe. Pole sana, mtaishia maisha duni kwa kushindana na karma. Hapa tunaongelea Mh TAL yupo in the house BBC London!!Ametoa wapi hela za kujenga ofisi nzuri namna hii jimboni kwake alafu hela za kujengea makao makuu ya chama hana?
Mbowe acha usanii hela za jimbo badala ya kuzipeleka kwa wanachi kama Sugu anavyofanya wewe unazijengea ofisi ya mbunge kana kwamba utakuwa mbunge wa milele??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo, Kenya na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.
Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!
Next, ...
Mnajisumbua tu nyinyi wacheza singeli ya lissu mara membe uwiii pathetic dna walahiBalimi 7 na Konyagi kubwa mimi ningemshauri aongezee na Flagyl 5.
Magongo kayaficha wapi sasa?
Kwani kwenye hizo nchi ulizotaja akuna binadamu?Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo, Kenya na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.
Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!
Next, ...
Wewe unaombea mabaya tuu kwa Lissu huku unamuombea mema mama bibi yenu aliye Muhimbili. Hapo unadhani maombi yenu yatasikiwa?Magongo kayaficha wapi sasa?
Mwongo mkubwa wewe, angekuwa na pesa angepanga NHC ?Mbona umechanganya madesa? Mbowe ameanza kuwa na hela wewe hujazaliwa? Mbona hujiulizi ana nyumba masaki, obey unashangaa ofisi, tena imejengwa Hai? Maskini wa kutupwa wewe. Hushangai nyumba ya Dr wa mihogo mbweni alipewa na Mbowe, hushangai ze propesa alisema akitingwa alikuwa anakimbilia kwa Mbowe, au hujamuuliza Zitto hadi nguo alikuwa ananunuliwa na Mbowe. Pole sana, mtaishia maisha duni kwa kushindana na karma. Hapa tunaongelea Mh TAL yupo in the house BBC London!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kipindi kibaya kama hiki . Trump hata washiriki zake hata kuwasaidia na sera zake hazina kipaumbele kwa Afrika. Hadi leo Marekani haina balozi Tanzania. UK inahangaika na Brexit. EU ina matatizo na Urusi, Brexit na kwa kifupi pale amebaki Mjerumani na Mfaransa ambao hawana ushawishi huku. Inabidi ajiulize kwanini yale matukio makubwa yalishindwa kushawishi hao wazungu na asipokiwa makini akifeli CCM watammaliza kisiasa.
HahahahaKilicho muhimu mh lissu yuhai tofauti na matakwa yenu
In God we Trust