leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,407
- 1,820
Hahahahahaaaa. Mnahangaika na loser?!Tiririka, mimi naenda kunawa uso ninazo Cotton buds nasafisha vizuri ili nipate kumuona Mwanasiasa na Mwanasheria Nguli ambae ni kipenzi cha Watanzania.
Na tope chepechepeKwa Habari hii tayari kuna watu boxer zao zimeshaanza kupata unyevunyevu.
kabadili ulizoloweshaMbona unajibu kwa hasira?
UmevrugwaAmetoa wapi hela za kujenga ofisi nzuri namna hii jimboni kwake alafu hela za kujengea makao makuu ya chama hana?
Mbowe acha usanii hela za jimbo badala ya kuzipeleka kwa wanachi kama Sugu anavyofanya wewe unazijengea ofisi ya mbunge kana kwamba utakuwa mbunge wa milele??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Konda mchafu wewe.Acha kuendekeza njaa. Angekuwa baba ako kamiminiwa hizo risasi ungeuliza hilo swali? Unaonekana umekula chumvi nyingi lakini huna hekima hata robo. Kichwani unawaza njaa na teuzi tu hivyo unakosa hadi utu.
wokovu umeingia moyoni mwakoTiririka, mimi naenda kunawa uso ninazo Cotton buds nasafisha vizuri ili nipate kumuona Mwanasiasa na Mwanasheria Nguli ambae ni kipenzi cha Watanzania.
IQ12 ...avatar yako inaniambia.
Kwa hiyo unafurahia Lisu kupigwa risasi? Subiri siku ukiiaga hii dunia ndio utajua kumbe kuna Mungu asiyependa ushetani wako.Konda mchafu wewe.
Ulishawahi kuaga dunia?Kwa hiyo unafurahia Lisu kupigwa risasi? Subiri siku ukiiaga hii dunia ndio utajua kumbe kuna Mungu asiyependa ushetani wako.
Kipindi kitarushwa muda gani na TV ipi!?Yule mwana siasa nguri na mtu pekee aliyenusurika kupotezewa uhai wake na wabaya wake baada ya kupigwa risasi za kutosha amepona na sasa hivi yupo ktk studio za BBC nchini uingereza anaelezea kilicho mkuta. Mwenye macho na atazame
View attachment 995391
In God we Trust
======
Jana Lissu aikuwa BBC HARDtalk na Stephen Sackur. Interview itarushwa Jumatatu ijayo.
Aidha, alikuwa pia na Zuhura Yunus wa Idhaa ya Kiswahili. Kipindi kitarushwa kesho (Januari 16, 2019)
Mbona una hasira kali?Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo(Mashariki), Kenya (wale choka mbaya) na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.
Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!
Next, ...
Nasikia unatoa huduma bila waswasi walahi vipi CD4 ziko sawasawa.Mnajisumbua tu nyinyi wacheza singeli ya lissu mara membe uwiii pathetic dna walahi