Uzuri kajitambulisha kuwa mwana ccm bila kificho, ccm wote walitamani twende kwenye uchaguzi mwenyekiti wa chadema akiwa yule mtu wao.Endeleeni na uchaguzi wenu wa maigizo.Chadema ilibidi wapambanie kile wanachokiamini, mchezo wa kutegemea huruma za chama cha mapinduzi haufai ni bora kutoshiriki kabisa
Waendelee tu mkuu,inawauma nini mbona chadema wako kimya na kiongozi wao yuko magereza tu.Endeleeni na uchaguzi wenu wa maigizo.Chadema ilibidi wapambanie kile wanachokiamini, mchezo wa kutegemea huruma za chama cha mapinduzi haufai ni bora kutoshiriki kabisa
Naunga mkono...tunapaswa kuwa na chama Cha upinzani chenye msimamo sio bendera fuata upepo kama chaummaJanuary 21, ilikuwa ile situation inaitwa 'NOW OR NEVER'.
Lissu amechelewa sana kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Chadema ilihitaji Mwanamageuzi wa kweli. So, tuendako ni kuzuri sana. Kwa wewe unaewaza 2025GE ndio unaona ni kosa kubadili uongozi wa Chama.
Bargain chip indeedWengi wao walishindwa kung'amua mapema kama lile lilikuwa goli aka frame ya biashara.
Na shida yao kubwa ni ujuaji hasa pale wanapogutuliwa.
Walitahadhalishwa juu ya biashara ya EL miaka mingi nyuma kabla ya 2015, wakawa wanakaza shingi.
Wakatahadhalishwa tena juu ya FAM wakawa wanakaza shingo na matusi juu..
Awamu ya nne wakapambana sana na JPM huku wakiwaunga mkono mtandao na kuwabatiza jina wafuasi wa JPM Sukima gang, wengi wakawa upande wa team JK na kumsifia sana JK.
Awamu ya tano paah, mwanzoni wakamsifia sana mama na kumuunga mkono kwenye 4R..
Huku wakiwaponda na kuwazodoa Sukuma gang.
Ghafla wamemgeuka mama wapo upande wa Sukuma gang na kumshambulia JK, RA na mtandao( their former allies).
Kifupi huu ukigeu, geu na kukosa misimamo, ujuaji, muendelezo wa sera na mambo yao ndio kunawafanya waonekane hawako serious na mara nyingi hutumika kama bargain chip halafu wanabwagwa.
Safarini Hodeidah Yemen
Fuatilia mada zangu mkuu, mimi CCM liberal, si chawa. Fuatilia mada zangu juu ya JK na Usultani.Hivi ccm inavyotaabika huioni kabisa?
Jidu kama Jidu La MabambasiFuatilia mada zangu mkuu, mimi CCM libera, si chawa. Fuatilia mada zangu juu ya JK na Usultani.