mkulimamiwa
JF-Expert Member
- Mar 4, 2025
- 2,521
- 5,061
Kwa akili zako na kusoma kwako kote, unatetea utekaji wa chama cha ccm?
Hili halikuwa lengo lakn.Endeleeni na uchaguzi wenu wa maigizo.Chadema ilibidi wapambanie kile wanachokiamini, mchezo wa kutegemea huruma za chama cha mapinduzi haufai ni bora kutoshiriki kabisa
Chadema wapumbavu sana
Tena chadema hawafai kabisa kuwepo chini ya anga la TanzaniaSawa ,una jingine?
Mazingira anayopitia Lissu ya vizingiti vya kisiasa yangeweza kumfanya mwanasiasa mwingine kukubali hongo ili apate nafuu.
Lakini Lissu amekuwa mfano wa nadra wa mtu anayekataa kupoteza mwelekeo wa kisiasa kwa ajili ya manufaa binafsi.
Ni kweli kwamba Lissu ana sauti kubwa ndani ya CHADEMA, lakini hiyo ni kwa sababu ya msimamo wake usioyumba.
Kama tungekuwa na viongozi wengi wa aina yake, upinzani nchini ungekuwa imara zaidi, na demokrasia ingepata nafasi ya kustawi.