Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,547
- 28,494
Kwa mwaka mmoja tu uliopita, mtu angekuambia CHADEMA itakuwa kama ilivyo leo ungebisha sana. CHADEMA imefanya some strategic blunders ambazo zimekigharimu chama pakubwa.
Moja nikubadili uongozi wa juu katika mwaka wa uchaguzi, hata kama sababu zilikuwepo.
Pili, u-one man show wa kiongozi Tundu Lissu, umefanywa kuwa rahisi kushughulikiwa na CCM na serikali yake.
Mimi mwana CCM lakini kama Mwalimu alivyosema kama upinzani ukiwa lege lege, hata chama kilicho madarakani kitakuwa legelege. CHADEMA lazima wawe na Think Tanks na Strategists siyo mawazo ya mtu mmoja.
Huko kwenye ubwabwa wa CHAUMMA ni kujipotezea muda tu.
Moja nikubadili uongozi wa juu katika mwaka wa uchaguzi, hata kama sababu zilikuwepo.
Pili, u-one man show wa kiongozi Tundu Lissu, umefanywa kuwa rahisi kushughulikiwa na CCM na serikali yake.
Mimi mwana CCM lakini kama Mwalimu alivyosema kama upinzani ukiwa lege lege, hata chama kilicho madarakani kitakuwa legelege. CHADEMA lazima wawe na Think Tanks na Strategists siyo mawazo ya mtu mmoja.
Huko kwenye ubwabwa wa CHAUMMA ni kujipotezea muda tu.