Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu


Acha fedha iitwe fedha kwa kweli inadhalilisha unakuta mtu na akili zake kabisa tena za kutosha kwa sababu ya noti anaamua kuwa -------- na mjinga big sana jaji Warioba,Dr Salim,jaji Agustino Ramadhan wote tunajua mna hela za kutosha za kuwafanya muishi vizuri for the rest of your lives still mmeonesha ujasiri uzalendo wa kweli na mmesimamia ukweli na matakwa ya wengi acha hao wapenda noti wawaangushe ila sisi wananchi tumewaelewa vizuri ukweli utasimama haijalishi ni lini Tanganyika itarudi tu
 

Mkuu.
Mbona ya Shivji , Mwakyembe na ya ma Proff. Hukuyasema.
Wale wale ambao hamsomi bible nzima, mnarukia viji mistari tu ili kujenga hoja zenu mfu.
By the way Lissu kaongea uongo kwani ?
Mkataba wa Muungano ni lini Serikali ya Kuanzia Nyerere mpaka JK ulipelekwa UN ?
Kuanzia janq binafsi nimeanza kumtizama the late Julius kwa jicho la tatu.
No wonder all the Problems we have now source yake ni yeye.
 

Dunia nzima masuala ya muungano ubabe hutumika...hata marekani hawaruhusu mtu
Ahoji muungano wao sababu ubabe ulituzmika
 
Siko hapa kukutaka ukubaliane na kile ninachikiandika. Unaweza ukakubali kutokubaliana lakini hauwezi kuundoa ukweli wa kile Mh. Tundu Lissu alikisema na amekisema kwa ufasaha kabisa.

By the way, hata bila Mh. Tundu lissu kutokuyasema aliyoyasema, kwani ilikuwaje mpaka Alhaji Aboud Jumbe akajikuta yuko nje ya Madaraka?.
 
Tundu Lissu alifata ushauri wangu nilioutoa humu JF 7th April 2014, wiki iliyopita:

 
Ng'wanampalala acha kujenga hoja mfu na kutaka public sympathy, weledi wa Tundu Lissu haufananishwi na wasomi wowote walio ndani ya ccm kwani ni mtu mwenye kwenda na fact na huwa na defending points, rejea hotuba ya mwalimu nyerere kuwa yeye sio malaika na kkuna sehemu yawezekana alikosea aliomba asamehewe, na kushauri watu wafate mazuri aliyoyafanya na sio mabaya aliyoyafanya, Sasa kuna wavivu wa kufikiri mnaleta tafsiri za kupotosha, h
 
JULIUS NYERERE-Humanist,Politician ,and Thinker.-POLE SANA TUNDU LISU,HUNA HADHI YA KUMKEJELI BABA WA TAIFA,JIKITE KATIKA KUJENGA HOJA ZAKO TU,UTAELEWEKA.
 

Naam, ziliondokea falme zilizotisha kuliko simba leo ziko wapi? Wengi waliuwawa, walipotezwa, walidhalilishwa, na kufanyiwa kila aina ya vitimbi na mateso ya aibu; ziko wapi falme zile? Nyakati zetu hizi nani wa kumfananisha na Babeli? Au nani mfano wa Rumi? Nani kama Ottoman? Ziko wapi leo falme hizi? Eti tutatawala milele!

Ni Mola peke yake ndiye hutawala milele enyi wapumbavu! Hakika kufuru zenu zimemfikia aliye Mtakatifu na amegeuka kuwatazama waja wake! Mtashindana naye? Mtashindana na Mkono wake ulio hodari?

Vizazi havina kumbukumbu zozote za aliye Mtakatifu kushindwa katika alitakalo. Hakika mtapotea wala hamtakumbukwa tena msipojirekebisha na kulegeza shingo zenu ngumu mkatambua mamlaka hutoka kwake. Mtatawala milele!? Kufuru ya ajabu hii!
 
Tundu Lissu ni smart lawyer na very good mwanaharakati but he is a lousy politician....huwezi mtukana Nyerere na isi ku cost

Wewe tokea Jamaa yako awe Mbunge wa Mahakama umekuwa hovyo kabisa na inaonesha umepatwa na msongo wa mawazo kabisa.
Wewe ni mfano wa watu ambao wanatenda based on interpretation ya akili za watu wengine.
 
Huyu Lissu ni mropokaji, bila Mwalimu Nyerere ajiulize leoangekuwa wapina anafanya nini? Hata afanye nini hawezi kubadili historia ya Mwalimu Nyerere katika Taifa na Dunia kwa ujumla.
 


Alichoandika mleta mada yupo sahihi, nina mashaka na wewe unayetaka kumpinga kama kweli uliuona uwasilishaji wa hoja za Tundu Lissu. Na kama ulitazamana basi nachelea kusema kuwa uwezo wako wa kuelewa ni mdogo sana.
Ila una nafasi pia ya kusoma magazeti ya leo na thread nyingine hapa JF zinaweza kukufumbua.
 
nyerere ndio role model wa dr.slaa, mbowe , yericko nyerere,bensaanane halafu tundu lisu anamtukana.. lisu hana adabu kwa viongozi wake wa chama

We naye viroba tayari vimeyumbisha akili yako ni wapi Lisu katukana? Kama ulikuwa hufahamu, basi kuanzia leo unatakiwa kujua Nyerere kafanya mengi mazuri na vilevile kuna machache aliboronga likiwemo suala la Muungano so hamna ubaya wowote akina Mbowe kufuata mazuri aliyofanyia Taifa eti kisa kuna mabaya machache alifanya.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…