Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Tuache ushabiki. Lissu yupo vizuri kwenye masuala ya kisheria. Na ni mtetezi mkubwa wa haki za binadamu.
Huko Nyamongo alishatetea sana walioporwa ardhi na kunyimwa haki zao na Mabeberu.
Alishapambana sana kutetea raia wanaosadikiwa kufukiwa Bulyanhuru kupisha Mabeberu wapore mali zetu.
Mahakamani ndio alishatetea sana raia kibao wanyonge.
Najua kwq hizi familia zilizoonewa huko Serengeti angekuwepo haki ingepatikana tu.
Huko Nyamongo alishatetea sana walioporwa ardhi na kunyimwa haki zao na Mabeberu.
Alishapambana sana kutetea raia wanaosadikiwa kufukiwa Bulyanhuru kupisha Mabeberu wapore mali zetu.
Mahakamani ndio alishatetea sana raia kibao wanyonge.
Najua kwq hizi familia zilizoonewa huko Serengeti angekuwepo haki ingepatikana tu.