nzoka boy
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 1,165
- 1,038
We kwa ufaham wako tu, tl na jiwe unaona nan anaishi kwa taabu mpaka anazeeeeka??Hoja kwa hoja acha dhihaka
We kwa ufaham wako tu, tl na jiwe unaona nan anaishi kwa taabu mpaka anazeeeeka??Hoja kwa hoja acha dhihaka
Ukinihakikishia Harmorapa ulinzi ni ishara ya mashaka ntakubaliana nawe....
Mkagombee uingereza
TL ndo anaishi kwa taabu,jiwe anajenga nchi ya viwanda weweWe kwa ufaham wako tu, tl na jiwe unaona nan anaishi kwa taabu mpaka anazeeeeka??
Hivi jiwe anaweza kwenda kanisani bila bunduki?
Ndugu zangu,
Kama hatabadilisha maamuzi basi Tundu Lissu ataanza kazi katika taasisi moja nchini Ubelgiji kama "advocacy officer".
Japo dili hili linamchanganya kuanza au kutoanza kufanya Ila amepewa hadi tarehe 20.09.2019 ili kuthibitisha kama atafanya au la,japo hata asipothibitisha wadau wamekubali kugharamia maisha yake ughaibuni.
Muda utaamua.
Wakudadavuwa
Brussels
Karma will deal with you.Naona unafuraia sana kisa mlichopanga kilishindikana ..
Vipi ile ya Kabendera umepewa ngapi?
Gharama za maisha ziko juu huko kuliko Tanzania habaki na kitu hapo pesa yote itaishia Kodi,umeme na gas na chakulaShida nini kama mshahara wa ubunge ni USD 6000 kwa mwezi huku kua officer unaramba USD 9500 baada ya kodi..........shida ya akili za ki-CCM na KICHADEMA zimekaa kinjaa njaa tu kuhisi ubunge ndio kazi inayolipa duniani.
Au unadhani naye ni mpuuzi kama wewe alienda kusoma ili awe maarufu na si kukidhi basics needs zake
OkHakuna lolote!..Lisu atarudi na ataendelea na harakati za kutetea katiba na utawala unaofuata na kuheshimu sheria. Najua nyie watesi wake mtaumia sana kutokana na ujio wake....
DahGharama za maisha ziko juu huko kuliko Tanzania habaki na kitu hapo pesa yote itaishia Kodi,umeme na gas na chakula
Unashangaa Nini? Mwanadamu anaanzia kwenye mbegu mpaka kuwa binadamu muuaji wa binadamu wenzie Unashangaa Nini? Au hujui Kuna siku utakuwa udongo?
Wenye mawazo mfu wenzako kina Gadafi unajua walipo? Walikuwa wanawaza matope na makamasi kuliko wewe lkn siku zilipowadia walitobolewa Malinda kabla kupigwa shaba za korodani. Jidanganye tuNyumbu bwana huwa hana hata sekunde ya kufikiri.
Kwanini atafute kibarua. Arudi nyumbani kama alivyojitamba. Mwambieni he will continue to pay the price, Mpaka atakapojifunza kusema ukweli...na ”kuomba msamaha”
Mwambieni kama hajui, wenzake wameomba msamaha Kwa uchungu sana”
Jiwe n nanCha kushangaza maisha ya Mashaka Unaishi wewe badala ya jiwe...
Very candangalas
Wewe umejenga hoja gani ni vijembe tu na maneno ya khanga ndio Trade Mark yako.Kijana jenga hoja acha povu
Kwanini?Nitashangaa sana endapo lissu akirudi bongo awamu hii ikiwa madarakani
Kamanda ni taarifa tu imeletwa
Kwanini Mkuu?Naelewa kama ni taarifa na naombea ziwe za kweli, maana hatumstahili Lisu that is the fact
Jiwe n nan