Unaongea usiyoyajua. Nina uhakika uelewa wako katika mambo ya kimataifa ni duni sana au haupo kabisa.
Gadaffi alikuwa anaua kila anayehoji utawala wake. Wakati wa utawala wa Gadafi, maisha ungeyaona mazuri sana kama ukikubali kuishi kama perty animal. Ukitaka kuonesha kuwa na wewe ni binadamu, sawa na Gadati, ndiyo mwisho wako wa kuishi Duniani.
Hata wakati wa mapambano ya kuondoa utawala wa Gadafi, wapiganaji wote walipewa maelekezo ya kumkamata Gadafi, wasimjeruhi wala kumwua ili ashtakiwe, lakini yule mpiganaji ambaye hakuwahi kuwa askari alipokutana uso kwa uso na Gadafi, licha ya Gadafi kunyosha mikono ikiwa ishara ya kukubali kukamatwa, alimiminiwa risasi, na askari wengine walipofika walikuta amekwishauawa. Yule askari alikamatwa, alishtakiwa na kuhukumiwa kifo. Lakini katika maelezo yake alisema kuwa alifahamu wazi kuwa hakustahili kumwua lakini yeye aliamua kumwua kwa sababu yeye Gadafi hakuwahi kumpeleka ndugu yake mahakamani, alikamatwa alipelekwa gerezani, na usiku mmoja, yeye pamoja na wenzake waliyltolewa gerezani, wakauawa na kuzikwa kwenye kaburi moja watu 250. Alisema alijua kuwa atauawa lakini angalao ameweza kumwua mtu aliyemwua ndugu yake.
Kwa GadafiHuwezi kuitoa CCM kwa kutegemea Wazungu ambao nao wanabenefit kwa CCM, kinachofuata watakutumia kuibana CCM kwa wao kupata maslahi zaidi... Nitajie nchi moja ambayo wazungu wameleta demokrasia na stabilization..
Wazungu walishindwa kuwasaidia weusi pale SA dhidi ya kaburu matokeo yake weusi wenyewe wakapambana kujikomboa huku wazungu wakipamban kimyakimya kusaidia kaburu..
Mabeberu walipopeleka makombora pale na kulipua hovyo ili kumua gadafi kuna utulivu wowote umerejea sasa?
Siyo sababu yakutokudai democracy halisi. Siyo hivi viini macho . WaLibya wameharibikiwa kwa sababu ya Gaddafi mwenyewe . Miaka 42 na bado unataka mwao akurithi !!. Hata hapa kwetu sababu ya Ccm kung'ang'ania madarakani miaka 60 bila kuweka mazingira mazuri ya kupokezana vijiti yaweza kuleta hali hiyo ya Libya leo.Kwa hiyo sasa hivi watu wako huru!
Democrasia imetawala maisha ni mazuri sana baada ya mzungu kuleta demcrasia?
Hivyo sio priority yao, priority yao ni rasimali zako ndio maana wako karibu na CCM na ukiwaoffer kupata zaidi ya hivyo basi kesho tu wanaitoa CCM na wakikuona hauna maslahi nao basi watakutumia kupata zaidi kwa CCM kwa kuitisha dhidi yako na wafuasi wako....kifupi kwa sasa mabeberu wanaitumia CDM kuitisha CCM na CCM inazidi kuwapa zaidi kutoka kwenye cake ya Taifa..
Bora wazungu kuliko kuuawa na mtu unayemjua. Jpm ameua wangapi ndani ya mda mfupi je angemaliza miaka 10 angeua wangapiWe ndo mjinga kabisa kwa fikra hizo za kitumwa, walimuua Ghadafi hilo limewasaidia nini Walibya, nchi inekuwa uwanja wa vita tangu wamuue. Interest yao ilikuwa ni rasimali mafuta na siyo maslahi ya wananchi wa Libya.
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Bora miafrika midictator ife tu mana haina mana. Inaua wenzao tu kama.jpm alivyotaka kumla kichwa lisuBaada ya kumuassasinate Ghadafi wameleta demokrasia sasa Libya...
Nenda kwa kagame uone wapinzani wanavyonyanyaswa na kubambikwa makesi ya uhaini na kunyongwa. Yule mdada aliyekuwa mshindani wake mpaka leo yupo selo na bila shaka ameshakufaNdio maana nakwambia wewe una akili yakitumwa!
Hivi Libya kabla ya wazungu wako kuketa democrasia watu walikuwa wana chinjana kama ilivyo sasa?
Kwa Kagame kuna watu wana chinjana?
Mkilishwa ujinga wa democrasia ya mzungu nasi mnajihisi mko mbinguni
Libya ya Gadafi na hii ya baada ya democrasia ya mzungu ziko sawa?Siyo sababu yakutokudai democracy halisi. Siyo hivi viini macho . WaLibya wameharibikiwa kwa sababu ya Gaddafi mwenyewe . Miaka 42 na bado unataka mwao akurithi !!. Hata hapa kwetu sababu ya Ccm kung'ang'ania madarakani miaka 60 bila kuweka mazingira mazuri ya kupokezana vijiti yaweza kuleta hali hiyo ya Libya leo.
Sasa walibya wanafaidi democracy na vyama vya siasa walivyonyimwa na gadafi miaka na miaka ama siyo?..Gaddafi angeruhusu vyama vya siasa na demokrasia tusingekuwa tunazungumzia makombora.
Kwa hiyo nchi za kikomunisti hazina maendeleo?!!!Kwa mawazo yangu hauko sahihi samurai . Tunaihitaji maisha bora na elimu bora. Vyote hivi haviwezi kuletwa na Ccm ile Ile yenye itikadi za ki communist. Bila katiba nzuri inayoruhusu vyombo ya maamuzi kujisimamia , forget . Unapokuwa judges wanaoomba usiku na mchana wafanyiwe favour. Unapokuwa na vyombo vya dola na vya maamuzi ambao viongozi wake hawatokani na ueledi bali mapenzi ya alieko state house sahau. Ukijumlisha na nidhamu ya uogatuliojegewa .
Elimu mbovu ni mtaji wao wa kuitawala nchi hii. Na umasikini ni usalama wao wa kubaki madarakani. Hawawezi kuvitoa hivi.
Tatizo huonekana pale WAKOSOAJI wa watawala wakifanya jukumu lao hilo huku wakichagua upande....tena wakiwa "biased" mathalani afanyavyo Askofu Niwemugizi......Mimi siishi kwa kukariri kama wewe na brazaj. Kama hamuwezi kuona kazi anayofanya Rais SSH basi mumevaa mawani ya mbao.
Siwezi kuungana na nyinyi kama mnataka blindly niandike post za #MboweSiyo Gaidi au #Katiba Mpya. Mimi Nina akili zangu na najitambua
Wewe ni jitu la hovyo tu. Mwanaume unatakiwa uwe na msimamo uwe thabit. Wewe ni wa ovyo kaa ukijua hiloMimi siishi kwa kukariri kama wewe na brazaj. Kama hamuwezi kuona kazi anayofanya Rais SSH basi mumevaa mawani ya mbao.
Siwezi kuungana na nyinyi kama mnataka blindly niandike post za #MboweSiyo Gaidi au #Katiba Mpya. Mimi Nina akili zangu na najitambua
Niko vizuri, ninajutambua. Akili yangu haiwezi kufuata mkumbo wa kumsikiliza Mbowe au Lissu. Mimi nataka changamoto mpya na tunayo na Rais SSH
Anadanga tu ulaya Hana madhara yoyote kwa CCM na Taifa.Atadhurula mpaka atazeeka hapa Tanzania maisha yanasonga kama kawaidaHapo kakutana na Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya.
Hakuna kurudi nyuma katika mapambano ya kumdhibiti mkoloni mweusi.
View attachment 1974257
Kwani kasemaje kuhusu ushoga kwa Africa?Hapo kakutana na Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya.
Hakuna kurudi nyuma katika mapambano ya kumdhibiti mkoloni mweusi.
View attachment 1974257
Tumetumia miaka 5 tukimkosoa Magufuli arudishe utawala wa Sheria na democracy nchini. Tulimchallenge dhidi ya vitendo vya kuteka na kuua, kunyang'anya fedha matajiri na kutumia raslimali za umma kujenga Kijijini kwake Chato.Wewe ni jitu la hovyo tu. Mwanaume unatakiwa uwe na msimamo uwe thabit. Wewe ni wa ovyo kaa ukijua hilo