Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,542
- 7,450
Magufuli hana nia nzuri yyte, magufuli anataka muda wote ajiweke juu kisiasa na kutaka kujiona kuwa yeye anajua Kila kitu, huyo huyo hajui lolote na hakubali kusikiliza ushauri wa wataalamu, huyu atakuja kuiacha nchi haitamanikiBinafsi sioni kosa la Lissu, ameeleza ni nini Rais alipaswa kufanya kabla ya kuzuia mchanga kusafirishwa.. Magufuli ana nia nzuri lakini njia anazotumia zinaweza zikaliingizia taifa hasara zaidi badala ya faida kwa sababu ya mikataba iliyoingiwa na serikali zilizopita na wawekezaji hawa..
Tusiwe mashabiki wa watu, tuwe mashabiki wa ukweli.. Tanzania ni yetu sote