Dwight schrute
Member
- Mar 5, 2017
- 5
- 2
Jamani tuuelewe upinzani kazi yao ni kupinga ndo kazi inayowapa daily bread
Pana qaswida hapa, sasa wewe mbona unayakata mayenu!!??wanapokea waliokuwa wanawaponda kisa wana hela. chadema bana ukiwa na hela tu mzee safii huyo mpe nchi mchaga kala hela akawapa dada zake viti maalumu
Tangu lini wewe ukapingana na lissu???Ukimsoma vizuri Lissu ametoa suluhisho ambalo kama Taifa linaweza likafanya,hivyo pamoja na kumlaumu Rais Magufuli kwa kutoa angalizo,ametoa na SULUHISHO.
Soma paragraph yake ya Mwisho
Wapinzani waliiomba mikataba hii iletwe bungeni, nia ilikuwa msaidiwe kuiweka sawa.Jamani tuuelewe upinzani kazi yao ni kupinga ndo kazi inayowapa daily bread
Bunge lipi?Hawa wa upinzani si walipiga kelele kabla nchi inapoteza pesa, sasa haya wanayoyaongelea now je waliwahi kupendekeza bungeni kabla!?
Mkuu ushauri upo na kumponda vyote vipo. Sasa hapo mkulu achague kile kizuri cha hovyo anaacha.unafiki na kujitafutia mtaji kwa wananchi kama unaipenda nchi yetu si ungemuandikia waraka kwake ukamshauri wewe ni kumponda hauna lengo la kuikuza nchi kiuchumi. wewe huo mfano wa bolivia ungemwambia. ila kila kukicha ni kumkosoa na sio kushauri, mpe way forward
Hiyo akili kidogo ingetumika wakati wa kuingia hiyo mikataba mibovu. Sasa hivi inatakiwa akili kubwa kurekebisha hiyo mikataba. Tukienda kichwa kichwa tutaula wa chuya.Mchanga kama kutetesi una dhahabu na wala si makinikia kama makubaliano yalivyo! Unataka uruhusiwe mchanga usafirishwe ushahidi utapata wapi?? Hebu tumieni akili kidogo basi..
Kama hata mambo ya wazi hivi naona ni mweupe hivi sasa mnajiunga ktk mitandao ya kijamii kuonyesha ulofa wenu au mnatafuta kitu gani JF?wanapokea waliokuwa wanawaponda kisa wana hela. chadema bana ukiwa na hela tu mzee safii huyo mpe nchi mchaga kala hela akawapa dada zake viti maalumu
Umeingia JF unajiita GT wakati lofa tu husiye elewa hata hivi ulivyo andikiwa!Nimeulizwa swali kama hauna jibu la kunipa pita hukooooo.
Ni kweli mkuu, baadhi ya watu hawaangalii tena hoja, wanaangalia nani kaandika wanaanza kupambana naye badala ya kupambana na hoja kwa hoja. Inasikitisha sana.Mkuu soma hii thread uelewe. Ni funzo hata kwetu tunaoshinda kwenye mitandao kumponda au kumtetea JPM kwenye hili suala bila uelewa. Tusome tujifunze; ku attack mtu badala ya hoja imeshaonyesha haitusaidii kamwe mkuu.
Tangu lini wewe ukapingana na lissu???