tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,318
- Thread starter
- #41
Wanaenda kumuangalia mzimu unatembea hakuna mtu duniani aliyepigwa risasi 16 na Bado anaishi hayupo....General statement but ushindani ni mkubwa. Lissu amevuta watu wengi kwake ambayo ni advantage. Kuna watu hawatapiga kura wengine ni wale ambao wangepigia ccm.
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app