LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Yaani unamtetea mgogo Ndugai kwa kumponda Mbowe na Mnyika....kwa hiyo Mbowe aende akawatoe kwa nguvu pale bungeni? Haahaa mgogo kashasema wale ni wabunge hata Kama wamefukuzwa na chama Chao...Mkuu hutamuona Mbowe wala Mnyika anaongelea hii ishu ya akina Mdee. Tatizo mmefungwa na mahaba ya chama hamko tayari kuangalia upande mwingine wa shilingi. Nasisitiza Mchaga hajawahi kuniangusha kwenye shilingi. Kuna mambo mkijakiyajua huko mbeleni mtajiona wajinga sana. CCM na CDM ni walewale tu.