mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,412
- 8,398
Hilo kaburi ataingia yeye October 28.Kuna tetesi kwamba alitakiwa kuzikwa chapchap huku risala ya mazishi ikiandikwa na Ndugai , kuna tetesi pia kwamba pesa ya kuchimbia kaburi ilishalipwa tayari