Uchaguzi 2020 Tundu Lissu baada ya Uchaguzi

😂😂😂😂😂😂😂😂 you’re so funny Mkuu. Lissu habari nyingine.

Mkuu habari za Msamvu , naona Lissu kapiga kiberiti kichaka panya wote wamekurupuka ! na bado mtajitokeza sana wazee kuokoa jahazi
 
Mkuu tubet, ukimuona Mnyika kwenye kampeni za Lissu najiondoa JF. Nina uhakika na ninachokwambia. Kwani Musiba kasemaje?..

Mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu (wa pili kulia) na Mkewe (wa pili kushoto) pamoja na Katibu Mkuu wa Chama hicho Bara John Mnyika (wa kwanza kulia) na Katibu Mkuu wa Chama hicho Zanzibar Salum Mwalimu (wa kwanza kushoto) wakiwa jukwaani wakicheza wakati wa uzinduzi wa Kampeni za Chama hicho zilizofanyika katika viwanja vya Mbagala Zakhem Jijini Dar es Salaam.

Lini: Leo Jumapili Sept 27
Mahali: Tarime Vijijini
Mhusika Mkuu: Mgombea Urais, Tundu LISSU
Kama woteeee.....kama kokoto!
*MUHIMU: Kokote ulipo hakikisha Oktoba 28, 2020 unapiga kura. Unachagua Tundu Lissu, unawachagua Wabunge na Madiwani wa CHADEMA.
#ChaguaLissu
#ChaguaCHADEMA
#SasaBasi
#UchaguziMkuu2020
Image may contain: one or more people, people standing, crowd, hat, beard and outdoor Image may contain: 2 people, baby and closeup Image may contain: 3 people, people sitting, text that says 'DEMOKRASIA CAA Mb CHADEMA TunduLissu RAIS 2020 #TunduLissu2020' Image may contain: 4 people, crowd and outdoor, text that says 'CHADEMA TunduLissu RAIS 2020 19 #SasaBasi #TunduLissu'


10 hrs ·
Public

26 Comments · Full Story
 
Lissu haongei na Mnyika, na Mbowe yupo upande wa Mnyika. Katibu Mkuu wa CHADEMA hataonekana tena kampeni hizi. Baada ya uchaguzi huu Kati ya Mnyika au Lissu lazima mmojawapo aondoke CHADEMA. Wengi humu mmejaa ushabiki Ila huko jikoni hali sio shwari. Lissu kaja kuizika CHADEMA rasmi. Yeye anajipambania hawapiganii madiwani wala wabunge wake. Mdee na Lema hawajihusishi na kampeni za Lissu. Mwenye macho haambiwi tazama.
Endeleeni kuota
 
Hoja ya kufikirisha
Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge unazidi kukaribia. Wapinzani wanaoonekana maeneo mengi ya kampeni ni Tundu Lissu na Prof. Ibrahim Lipumba.

Kumekuwa na mijadala katika maeneo mbalimbali nchini juu ya hatma ya wagombea hawa baada ya uchaguzi kuisha.

Kwa upande wa Lipumba, kwa vile amekuwa mgombea kwenye chaguzi za siku za nyuma, watu wengi wanategemea atarudi kukiongoza chama chake cha CUF kama alivyofanya baada ya chaguzi zilizopita.

Kwa vile Tundu Lissu anagombea kwa mara ya kwanza, watu wamekuwa na maoni mbalimbali juu ya kile wanachotarajia akifanye baada ya uchaguzi. Miongoni mwa yaliyojirudiarudia ni kama ifuatavyo;

1. Tundu Lissu atataka kuchukua nafasi ya Uenyekiti ndani ya Chadema. Hatua hii itaongeza msuguano uliopo kati yake na Mbowe. Kwa vile hakuna uchaguzi wa ndani wa Chadema hivi karibuni, uwezekano wa Tundu Lissu kufuata njia hii ni mdogo.

2. Tundu Lissu atarudi Ubelgiji kuungana na familia yake. Kwa vile Tundu Lissu ameomba kutambuliwa kama mkimbizi nchini Ubelgiji, upo uwezekano mkubwa kuwa atarudi kule mpaka maombi yake hayo kukamilika ili familia yake iendelee kutunzwa na serikali ya Ubelgiji.

3. Tundu Lissu ataungana na Zitto Kabwe kwenye ACT. Kutokana na msuguano unaoendelea kati yake na Mbowe, iwapo ataamua kubaki nchini, anaweza kujiunga na Zitto kwenye ACT.

4. Tundu Lissu ataanzisha chama chake. Baadhi ya watu wanadhani Tundu Lissu ataibuka na kusajili chama chake kipya. Uwezekano wa kuanzisha chama baada tu ya uchaguzi ni mdogo. Historia inaonyesha vyama vingi huanzishwa unapikaribia Uchaguzi Mkuu au baada ya mivutano kwenye chaguzi za ndani za vyama.

5. Tundu Lissu ataomba nafasi kwenye serikali ya Magufuli. Wapo pia wanaoamini kuwa Tundu Lissu atamkumbusha Magufuli juu ya ahadi ya kumpa kazi. Kwa vile Magufuli alitoa ahadi hiyo hadharani, itakuwa ni uungwana kuitekeleza. Hii pia itasaidia kumuwezesha Tundu Lissu kujikimu na kuirudisha familia yake nchini.

Kama mnavyoona, matarajio ni mengi, lakini cha muhimu zaidi tuendelee kumuomba Mungu atijalie uchaguzi wa amani na utulivu ili tuendelee kuijenga nchi yetu.

Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania...
 
Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge unazidi kukaribia. Wapinzani wanaoonekana maeneo mengi ya kampeni ni Tundu Lissu na Prof. Ibrahim Lipumba.

Kumekuwa na mijadala katika maeneo mbalimbali nchini juu ya hatma ya wagombea hawa baada ya uchaguzi kuisha.

Kwa upande wa Lipumba, kwa vile amekuwa mgombea kwenye chaguzi za siku za nyuma, watu wengi wanategemea atarudi kukiongoza chama chake cha CUF kama alivyofanya baada ya chaguzi zilizopita.

Kwa vile Tundu Lissu anagombea kwa mara ya kwanza, watu wamekuwa na maoni mbalimbali juu ya kile wanachotarajia akifanye baada ya uchaguzi. Miongoni mwa yaliyojirudiarudia ni kama ifuatavyo;

1. Tundu Lissu atataka kuchukua nafasi ya Uenyekiti ndani ya Chadema. Hatua hii itaongeza msuguano uliopo kati yake na Mbowe. Kwa vile hakuna uchaguzi wa ndani wa Chadema hivi karibuni, uwezekano wa Tundu Lissu kufuata njia hii ni mdogo.

2. Tundu Lissu atarudi Ubelgiji kuungana na familia yake. Kwa vile Tundu Lissu ameomba kutambuliwa kama mkimbizi nchini Ubelgiji, upo uwezekano mkubwa kuwa atarudi kule mpaka maombi yake hayo kukamilika ili familia yake iendelee kutunzwa na serikali ya Ubelgiji.

3. Tundu Lissu ataungana na Zitto Kabwe kwenye ACT. Kutokana na msuguano unaoendelea kati yake na Mbowe, iwapo ataamua kubaki nchini, anaweza kujiunga na Zitto kwenye ACT.

4. Tundu Lissu ataanzisha chama chake. Baadhi ya watu wanadhani Tundu Lissu ataibuka na kusajili chama chake kipya. Uwezekano wa kuanzisha chama baada tu ya uchaguzi ni mdogo. Historia inaonyesha vyama vingi huanzishwa unapikaribia Uchaguzi Mkuu au baada ya mivutano kwenye chaguzi za ndani za vyama.

5. Tundu Lissu ataomba nafasi kwenye serikali ya Magufuli. Wapo pia wanaoamini kuwa Tundu Lissu atamkumbusha Magufuli juu ya ahadi ya kumpa kazi. Kwa vile Magufuli alitoa ahadi hiyo hadharani, itakuwa ni uungwana kuitekeleza. Hii pia itasaidia kumuwezesha Tundu Lissu kujikimu na kuirudisha familia yake nchini.

Kama mnavyoona, matarajio ni mengi, lakini cha muhimu zaidi tuendelee kumuomba Mungu atijalie uchaguzi wa amani na utulivu ili tuendelee kuijenga nchi yetu.

Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania...
Magufuli baada yakushindwa tuambie anaenda wapi shekh yahya naona umerudi
 
Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge unazidi kukaribia. Wapinzani wanaoonekana maeneo mengi ya kampeni ni Tundu Lissu na Prof. Ibrahim Lipumba.

Kumekuwa na mijadala katika maeneo mbalimbali nchini juu ya hatma ya wagombea hawa baada ya uchaguzi kuisha.

Kwa upande wa Lipumba, kwa vile amekuwa mgombea kwenye chaguzi za siku za nyuma, watu wengi wanategemea atarudi kukiongoza chama chake cha CUF kama alivyofanya baada ya chaguzi zilizopita.

Kwa vile Tundu Lissu anagombea kwa mara ya kwanza, watu wamekuwa na maoni mbalimbali juu ya kile wanachotarajia akifanye baada ya uchaguzi. Miongoni mwa yaliyojirudiarudia ni kama ifuatavyo;

1. Tundu Lissu atataka kuchukua nafasi ya Uenyekiti ndani ya Chadema. Hatua hii itaongeza msuguano uliopo kati yake na Mbowe. Kwa vile hakuna uchaguzi wa ndani wa Chadema hivi karibuni, uwezekano wa Tundu Lissu kufuata njia hii ni mdogo.

2. Tundu Lissu atarudi Ubelgiji kuungana na familia yake. Kwa vile Tundu Lissu ameomba kutambuliwa kama mkimbizi nchini Ubelgiji, upo uwezekano mkubwa kuwa atarudi kule mpaka maombi yake hayo kukamilika ili familia yake iendelee kutunzwa na serikali ya Ubelgiji.

3. Tundu Lissu ataungana na Zitto Kabwe kwenye ACT. Kutokana na msuguano unaoendelea kati yake na Mbowe, iwapo ataamua kubaki nchini, anaweza kujiunga na Zitto kwenye ACT.

4. Tundu Lissu ataanzisha chama chake. Baadhi ya watu wanadhani Tundu Lissu ataibuka na kusajili chama chake kipya. Uwezekano wa kuanzisha chama baada tu ya uchaguzi ni mdogo. Historia inaonyesha vyama vingi huanzishwa unapikaribia Uchaguzi Mkuu au baada ya mivutano kwenye chaguzi za ndani za vyama.

5. Tundu Lissu ataomba nafasi kwenye serikali ya Magufuli. Wapo pia wanaoamini kuwa Tundu Lissu atamkumbusha Magufuli juu ya ahadi ya kumpa kazi. Kwa vile Magufuli alitoa ahadi hiyo hadharani, itakuwa ni uungwana kuitekeleza. Hii pia itasaidia kumuwezesha Tundu Lissu kujikimu na kuirudisha familia yake nchini.

Kama mnavyoona, matarajio ni mengi, lakini cha muhimu zaidi tuendelee kumuomba Mungu atijalie uchaguzi wa amani na utulivu ili tuendelee kuijenga nchi yetu.

Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania...

Hivi umejiuliza hatima ya jiwe baada ya uchaguzi?

Au wizi wa kura ndiyo mmetanguliza mbele?

Mtatatufuta sana cha kutusambaratisha - hakipo! Jiwe anasema kama ile fidia ya kibamba - keteho!
 
Lissu haongei na Mnyika, na Mbowe yupo upande wa Mnyika. Katibu Mkuu wa CHADEMA hataonekana tena kampeni hizi. Baada ya uchaguzi huu Kati ya Mnyika au Lissu lazima mmojawapo aondoke CHADEMA.

Wengi humu mmejaa ushabiki Ila huko jikoni hali sio shwari. Lissu kaja kuizika CHADEMA rasmi. Yeye anajipambania hawapiganii madiwani wala wabunge wake. Mdee na Lema hawajihusishi na kampeni za Lissu. Mwenye macho haambiwi tazama.
Hahahaha CCM bhana kipindi wanaongozana wote mlidai hawapo kimkakati. Walipoanza kuzunguka kivyao mfano Salim Mwalimu hamjapongeza ila bado mnadai wamemsusa?

Sasa hizi double standard ni Kwa faida ya nani?
Subirini Mwembeyanga tu mtaeleza yote.
 
Lissu haongei na Mnyika, na Mbowe yupo upande wa Mnyika. Katibu Mkuu wa CHADEMA hataonekana tena kampeni hizi. Baada ya uchaguzi huu Kati ya Mnyika au Lissu lazima mmojawapo aondoke CHADEMA.

Wengi humu mmejaa ushabiki Ila huko jikoni hali sio shwari. Lissu kaja kuizika CHADEMA rasmi. Yeye anajipambania hawapiganii madiwani wala wabunge wake. Mdee na Lema hawajihusishi na kampeni za Lissu. Mwenye macho haambiwi tazama.
Watajihusisha vipi na kampeni ya Lisu wakati nao wana kibarua cha kunusuru ubunge majimboni kwao!
 
Lissu haongei na Mnyika, na Mbowe yupo upande wa Mnyika. Katibu Mkuu wa CHADEMA hataonekana tena kampeni hizi. Baada ya uchaguzi huu Kati ya Mnyika au Lissu lazima mmojawapo aondoke CHADEMA.

Wengi humu mmejaa ushabiki Ila huko jikoni hali sio shwari. Lissu kaja kuizika CHADEMA rasmi. Yeye anajipambania hawapiganii madiwani wala wabunge wake. Mdee na Lema hawajihusishi na kampeni za Lissu. Mwenye macho haambiwi tazama.

Mnatamani iwe hivo ila haiwezekani,nye ni kama fisi anayemfuata binadamu usiku kwa nyuma akitegemea anavyotembea mkono utadondoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom