4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,979
- 6,782
Mkuu mtu kua raia wa kawaida haimuondolei umaharufu wake ndani ya jamii, kwa mfano lissu unamchukuliaje ,achana nae kabisa leo dunia inamjua lissu ni nani we utakataa ukweli huu kwa lipiJamani hebu tuwe wakweli hata japo kdg tumuaibishe shetani, hivi Lissu atishiwe maisha kwa kipi hasa? Maana sasa ni raia tu wa kawaida, aache kujishaua, aende mahakamani, vinginevyo anaogopa kesi