Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,791
- 3,360
Nilisikitika sana kuona wakuu fulani wa dini wakimwombea mtu mzima badala ya huyu mlengwa. Yaan hawakuweza hata kulaani tu kitendo alichofanyiwa.Malipo ni hapa hapa
Nilisikitika sana kuona wakuu fulani wa dini wakimwombea mtu mzima badala ya huyu mlengwa. Yaan hawakuweza hata kulaani tu kitendo alichofanyiwa.Malipo ni hapa hapa
Ndio malengo ya lissu kwenda kuteka ibada ila watu wamejikausha km hawamjui
Misa imeisha anasubiri kupewa mkono na waumni waumini wakaondoka bila kuhangaika naye
Kwa hiyo ulitaka wamfate na kumzunguka hapo kanisani,acha upoyoyoWaumini hata hawana habari naye, anatia huruma huyu mtu wa ubeligiji
Endelea kusikiliza hoja za Askofu wa mivutu GwajimaWewe huna hoja nimeamua nikupuuze rasmi sasa
Nikiangalia huo mguu wa Lissu na jinsi anavyotembea na kusimama huwa naumia sana!! Aliyefanya hivi kwa Lissu apate pigo kuu mwaka huu kwa Jina la Yesu!
Ukiacha uhanithi utakuwa raia mwemaWaumini hata hawana habari naye, anatia huruma huyu mtu wa ubeligiji
Umeshaona ni ugpmvi?!Magufuli na Lissu wapatane sisi Wakatoliki siyo tabia yetu kugombana na kutukanana majukwaani. Watubu na waweke taifa liwe moja.
Amen!Nikiangalia huo mguu wa Lissu na jinsi anavyotembea na kusimama huwa naumia sana!! Aliyefanya hivi kwa Lissu apate pigo kuu mwaka huu kwa Jina la Yesu!