alumelunda
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 745
- 903
Kwani huyo mpumbavu kama wapumbavu wengine wanaoenda kanisani kwa ajili showoffWaumini hata hawana habari naye, anatia huruma huyu mtu wa ubeligiji
Kwani huyo mpumbavu kama wapumbavu wengine wanaoenda kanisani kwa ajili showoffWaumini hata hawana habari naye, anatia huruma huyu mtu wa ubeligiji
Na ww piga rungu mguu uvunjike! kisha, ongeza madoido tukuhurumie bro wangu!Ikiangalia walkability yake jamaa anaongeza madoido ili apate huruma hasa wakati huu wa kampeni za uchaguzi wa Rais!
Sikupitishwa na Tume!Na ww piga rungu mguu uvunjike! kisha, ongeza madoido tukuhurumie bro wangu!
Habari Kubwa Tanzania Ni Chattel Ambapo Museven YupoWaumini hata hawana habari naye, anatia huruma huyu mtu wa ubeligiji
Mikono Anayo Alikuwa Anangoja Wa Nani?Ndio malengo ya lissu kwenda kuteka ibada ila watu wamejikausha km hawamjui
Misa imeisha anasubiri kupewa mkono na waumni waumini wakaondoka bila kuhangaika naye
Analindwa na Mungu since mlipotaka kumtandika risasi mkashindwa.Haya na Nyie mkalinde rais tarajiwa wa ubeligiji
Waumini wako pale kuabudu hawakuja kumuangalia Lissu, jitendee haki kwa kutumia hizo akili kiduchu ulizobakishiwaWaumini hata hawana habari naye, anatia huruma huyu mtu wa ubeligiji
Kwani yule mwuaji hujawahi kumwona akikomunika?Msaliti anapokea ekaristi
Mungu Ni Mwema Wakati WoteAnalindwa na Mungu since mlipotaka kumtandika risasi mkashindwa.
Magufuli na Lissu wapatane sisi Wakatoliki siyo tabia yetu kugombana na kutukanana majukwaani. Watubu na waweke taifa liwe moja.Tumekuwelea hapa taarifa hii ili usiachwe nyuma kujua Lissu alipo na anachokifanya kwa wakati husika , jingine ni kuwaonyesha wapiga kura ucha Mungu wa Rais wao mtarajiwa
View attachment 1568561
Nenda KKKTWaumini hata hawana habari naye, anatia huruma huyu mtu wa ubeligiji
Kumekucha SasaAlidhani waumini watamfuata akaachwa solemba
Kuna Dada alikuuliza swali lakini ulikwepa kujibu,alikuuliza kawe alumni we ni MTU ama jeshi..Waumini hata hawana habari naye, anatia huruma huyu mtu wa ubeligiji
Sawa najua unatetea tumbo la baba akoSijawahi kuwa msaliti wa nchi yangu!
Wanaona kibaraka kavamia kanisaniAmeharibu misa leo watu wakaanza kutoka mmoja mmoja
Kuna Nini Huko UlikokutajaNenda KKKT
sawa watakatifuNdio malengo ya lissu kwenda kuteka ibada ila watu wamejikausha km hawamjui
Misa imeisha anasubiri kupewa mkono na waumni waumini wakaondoka bila kuhangaika naye
Avatar yako tu inaonyesha akili zako"NI YEYE"
Naiwe hivyoNikiangalia huo mguu wa Lissu na jinsi anavyotembea na kusimama huwa naumia sana!! Aliyefanya hivi kwa Lissu apate pigo kuu mwaka huu kwa Jina la Yesu!