technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,554
- 57,850
Ni muda Sasa wa Tundu Lissu kurejea nyumbani no matter what.
Hata Kama akirudi wakamuua Hana Cha kupoteza Tena
Chadema haina kiongozi kwa Sasa Mnyika Ni kiongozi goigoi mno na siasa za kimbogo ambazo zimepitwa na wakati kwa utawala wa Sasa wa Ccm.
Chadema kinatakiwa kurejea na kuwaambia wanachama wake Hali halisi na wanachama watapakae kote vijijini kuimalishwa kwa chama kuelekea uchaguzi 2025.
Lissu akiendelea kukaa Ulaya hiki chama kinakufa kwa ujinga wa kuwaruhusu majasusi waendeshe chama.
Lazima chadema ya Harakati za ukweli irejee haraka Sana na kuanza siasa Kali za nguvu ya umma kuelekea uchaguzi 2025.
Pesa zipo watu wenye mapenzi na chama tutachanga Kama chama kitasimama na kutetea maisahi ya wanachi.
Hakuna Cha kuogopa kesi za kiuni Lema pia arudi nyumbani mapambano yaendelee wajenge chama mpaka vijijini wagawe kadi pesa zipatikane operation zote zifanyike.
Katiba mpya muda wa kuidai Ni Sasa na Hawa jamaa hawatakaa walete katiba kwakucheana chekeana .
Nashauri Lissu na Lema warejee Hawa ndio wanaweza kuongoza mapambano ya kudai katiba wakaeleweka.
Chadema kipo kwenye the point of no return kulia Lia sio lazima Tena Ni kufanya vitendo.
Kwa mfano unaandaa makongamano ya katiba kila kata Nchi nzima watawakamataje? Hata wakiwakamata kwa mfano kata ina wanachama 1000 wamekuja kwenye mkutano watawafunga wapi .
Lazima tubadilike huu utawala wa ccm wa Sasa sio watu wa kuwakenulia meno.
Andaa makongamano Nchi nzima kwa muda mmoja na yamalizike kwa muda mmoja.
Haya Mambo ya kuwaachia Bawacha na Bavicha chama sikubaliani hata kidogo.
Wengine tupo tayari kuchangia chama frequently pesa za operation za kila siku za movement za kudai katiba.
Hata Kama akirudi wakamuua Hana Cha kupoteza Tena
Chadema haina kiongozi kwa Sasa Mnyika Ni kiongozi goigoi mno na siasa za kimbogo ambazo zimepitwa na wakati kwa utawala wa Sasa wa Ccm.
Chadema kinatakiwa kurejea na kuwaambia wanachama wake Hali halisi na wanachama watapakae kote vijijini kuimalishwa kwa chama kuelekea uchaguzi 2025.
Lissu akiendelea kukaa Ulaya hiki chama kinakufa kwa ujinga wa kuwaruhusu majasusi waendeshe chama.
Lazima chadema ya Harakati za ukweli irejee haraka Sana na kuanza siasa Kali za nguvu ya umma kuelekea uchaguzi 2025.
Pesa zipo watu wenye mapenzi na chama tutachanga Kama chama kitasimama na kutetea maisahi ya wanachi.
Hakuna Cha kuogopa kesi za kiuni Lema pia arudi nyumbani mapambano yaendelee wajenge chama mpaka vijijini wagawe kadi pesa zipatikane operation zote zifanyike.
Katiba mpya muda wa kuidai Ni Sasa na Hawa jamaa hawatakaa walete katiba kwakucheana chekeana .
Nashauri Lissu na Lema warejee Hawa ndio wanaweza kuongoza mapambano ya kudai katiba wakaeleweka.
Chadema kipo kwenye the point of no return kulia Lia sio lazima Tena Ni kufanya vitendo.
Kwa mfano unaandaa makongamano ya katiba kila kata Nchi nzima watawakamataje? Hata wakiwakamata kwa mfano kata ina wanachama 1000 wamekuja kwenye mkutano watawafunga wapi .
Lazima tubadilike huu utawala wa ccm wa Sasa sio watu wa kuwakenulia meno.
Andaa makongamano Nchi nzima kwa muda mmoja na yamalizike kwa muda mmoja.
Haya Mambo ya kuwaachia Bawacha na Bavicha chama sikubaliani hata kidogo.
Wengine tupo tayari kuchangia chama frequently pesa za operation za kila siku za movement za kudai katiba.