Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,242
- 113,618
Yaani katika nchi inayosemwa kuwa ina watu takriban milioni 60. Na chama chake tunaambiwa kina wanachama kama milioni 5 au 6 hivi.
Pamoja na ‘umaarufu’ wake wote. Yaani huko Twitter ana wafuasi elfu 75 tu? Makamanda hamna smartphones nyie?
Pamoja na ‘umaarufu’ wake wote. Yaani huko Twitter ana wafuasi elfu 75 tu? Makamanda hamna smartphones nyie?