Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,413
- 11,065
Wasalaam
Niende moja kwa moja hivi huyu mtu wa kawaida sana kama Tundu Lissu ana nini hasa?hana cv yoyote hapa Tanzania hajawahi kutrend na uibuaji wa kashfa wala hoja yoyote ya kifisadi, maana zaidi ya kuwa kibaraka wa mabeberu na undumila kuwili hana lolote la maana.
CV ya Lissu ni kusherehekea na kufurahia saana kifo Cha Magufuli hio ndio legacy yake.
Hana CV yoyote kama iconic political figure, zaidi ya uanaharakati uchwara na mufilisi, hana sifa ya kugombea urais 2025 na hatagombea urais, hana jeuri ya kutolamba asali, hana vibe la kufuruka mbele ya Rais Hassan au Mgombea yeyote wa CCM come 2025.
Watoto wake inasemekana sio watanzania, record zake hana uzalendo anafurahia Tanzania ikipoteza inasemekana anatuhujumu kuuza gap za kushtakiwa kihuni kimataifa.
Vita ya corona virus alitusaliti, inasemekana ana support ushoga na hajaukana hadharani, awamu hii ya SITA amemute hana hoja uanaharakati kafeli. Afanye hand kulamba asali atulie.
Umaarufu wake ni wa huruma tu wa kupigwa risasi za kifedhuli na kiutopolo na watu washenzi tu ambao hawajui kutumia silaha waharibifu tu.
Ujio wa Tundu Lissu hauna vibe lolote zaidi tu ya kumbukizi tu kuwa alisurvive kifo tu basi hana zaidi umaarufu wa kunusurika kifo tu.
Ajipange kwa ajili ya kuropokwa na kuwazia Jimbo la Singida mashariki.
Lissu hana legacy yoyote ndani ya cv yake anaebisha ashushe hoja.
Chadema kabaki Heche na Mnyika basi wengine kama Lissu ni mapopoma tu
Wadiz
Niende moja kwa moja hivi huyu mtu wa kawaida sana kama Tundu Lissu ana nini hasa?hana cv yoyote hapa Tanzania hajawahi kutrend na uibuaji wa kashfa wala hoja yoyote ya kifisadi, maana zaidi ya kuwa kibaraka wa mabeberu na undumila kuwili hana lolote la maana.
CV ya Lissu ni kusherehekea na kufurahia saana kifo Cha Magufuli hio ndio legacy yake.
Hana CV yoyote kama iconic political figure, zaidi ya uanaharakati uchwara na mufilisi, hana sifa ya kugombea urais 2025 na hatagombea urais, hana jeuri ya kutolamba asali, hana vibe la kufuruka mbele ya Rais Hassan au Mgombea yeyote wa CCM come 2025.
Watoto wake inasemekana sio watanzania, record zake hana uzalendo anafurahia Tanzania ikipoteza inasemekana anatuhujumu kuuza gap za kushtakiwa kihuni kimataifa.
Vita ya corona virus alitusaliti, inasemekana ana support ushoga na hajaukana hadharani, awamu hii ya SITA amemute hana hoja uanaharakati kafeli. Afanye hand kulamba asali atulie.
Umaarufu wake ni wa huruma tu wa kupigwa risasi za kifedhuli na kiutopolo na watu washenzi tu ambao hawajui kutumia silaha waharibifu tu.
Ujio wa Tundu Lissu hauna vibe lolote zaidi tu ya kumbukizi tu kuwa alisurvive kifo tu basi hana zaidi umaarufu wa kunusurika kifo tu.
Ajipange kwa ajili ya kuropokwa na kuwazia Jimbo la Singida mashariki.
Lissu hana legacy yoyote ndani ya cv yake anaebisha ashushe hoja.
Chadema kabaki Heche na Mnyika basi wengine kama Lissu ni mapopoma tu
Wadiz