Na hii imetokana na upuuzi wetu watu ni wabinafsi wanajijali wenyewe hivi kweli wote kwa pamoja tungesema maonevu mwisho unazani nani angezuia maamuzi yetu?Lkn kwakuwa nchi hii inapelekwa ki maigizo zao lake ni hili tutafungwa bila makosa kwa maelekezo ya mtu moja kama vile yeye ni MUNGU lkn wacha niseme hivi the day are numbered haki ya MUNGU itafikia kila kitu kitaamuliwa kwa haki bila haya madudu yanayofanyika sasa hivi ni kweli kosa la lema halina zamana?hao wanaofanya hivyo wanauhakika ya kuwa hakuna hukum mbele yao ?ambayo MUNGU ataitoa kwao?Lkn kingine MUNGU wa kisasi hufanya hapahapa duniani,MUNGU atupe ujasiri tena wenye moyo wa kujitoa kabisakabisa ili historia iandikwe.Nawahakikishia kuwa chuki haijawahi kujenga chema. Hii chuki tunayoijenga leo ndiyo itakayokuwa fimbo dhidi yetu CCM. Pia tulifanya campaign chafu dhidi ya viongozi wetu ndani ya chama kwa kutegemea mambo yataenda vizuri leo hii mabaya yote yaturudia tumetuharibikiwa kilio kila kona. Tujifunze mtaji wetu ni nguvu zetu wenyewe.
Iko siku haki ya lema itapatikana, wanaondeleza mateso dhidi ya Lema iko siku kiboko cha Mungu ambacho hakibagui kitawachapa hii ni pamoja na kwa wale wanaotoa haki kwa uoga na maelekezo.
Ukweli ni kwamba chadema hakina utu hata kidogoKumwelewesha chizi ni kujipa kazi. siwezi kuendelea kupoteza muda kumwelimisha mtu ambaye hujitambui soma maoni yomboo yatakusaidia
Jela, Ukonga. Who cares ?yupo wapi?