Tundu Lissu amesema kuwa CHADEMA itakata rufaa dhidi ya hukumu ya Mbunge kwenda jela miezi sita

Mkuu Ben yupo salama salmini
Nakuhakikishia tunashiriki naye kwenye mijadala kwenye social media kama kawa akitumia id fake

Unavyowajua cdm ati mtu wao apotee kizembe hivyo wakae kimya


SIASA TU HIZO MKUU
 
Mkuu Ben yupo salama salmini
Nakuhakikishia tunashiriki naye kwenye mijadala kwenye social media kama kawa akitumia id fake

Unavyowajua cdm ati mtu wao apotee kizembe hivyo wakae kimya


SIASA TU HIZO MKUU
yupo salama salmini wapi yupo?
 
Kwani Godbless Jonathan Lema anatetewa na mawakili wa CCM?
Wale uwezo wao mdogo kila siku wababuruzwa tu, kwanini asiende mwanasheria nzuri akamaliza kazi badala ya kumtetea Wema? Au Wema muhimu kuliko Lema?
 
Kama kitu hujui Ni vyema Kukaaa kimya harakati zote za kumtoa lema huzioni?
Ziko wap mbona hatoki?
Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema kuwa chama hicho kitakata rufaa dhidi ya hukumu ya kwenda jela miezi sita ya Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mheshimiwa Peter Lijualikali wa CHADEMA, iliyotolewa leo na Mahakama ya Wilaya ya Kilombero,mkoani Morogoro. Tundu Lissu amekiambia kituo cha Radio cha EFM 93.7DSM kwamba, hukumu hiyo ni mwendelezo wa dhuluma dhidi ya wapinzani nchini. Amesema CHADEMA, pia watamwekea dhamana mbunge huyo ya kuwa nje wakati rufaa ikishughulikiwa.
 
Nawahakikishia kuwa chuki haijawahi kujenga chema. Hii chuki tunayoijenga leo ndiyo itakayokuwa fimbo dhidi yetu CCM. Pia tulifanya campaign chafu dhidi ya viongozi wetu ndani ya chama kwa kutegemea mambo yataenda vizuri leo hii mabaya yote yaturudia tumetuharibikiwa kilio kila kona. Tujifunze mtaji wetu ni nguvu zetu wenyewe.

Iko siku haki ya lema itapatikana, wanaondeleza mateso dhidi ya Lema iko siku kiboko cha Mungu ambacho hakibagui kitawachapa hii ni pamoja na kwa wale wanaotoa haki kwa uoga na maelekezo.
 
Hahusiki: kwahiyo kiongozi yoyote wa chama akipata matatizo chama Hakihusiki, wala kutoa msaada?
Kumwelewesha chizi ni kujipa kazi. siwezi kuendelea kupoteza muda kumwelimisha mtu ambaye hujitambui soma maoni yomboo yatakusaidia
 
Back
Top Bottom